Jamii forums wamebadili logo Yao

Jamii forums wamebadili logo Yao

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
1_20250720_180518_0000.png


Je unatumia mtandao wa Jamii forums Tanzania!! , app ya jamii forums leo wamefanikiwa kufanya maboresho kwa kuweza kubadilisha logo Yao ambayo ilidumu kwa muda mrefu sana.

2_20250720_180519_0001.png


Mtandao wa jamii forums Tanzania ni jukwaa linalowakutanisha watu Mbalimbali na kuweza kupiga Soga, kupeana ushauri kujifunza mambo Mbalimbali kuhusu Nchi ya Tanzania na Dunia kwa ujumla kuanzia siasa, Elimu , afya, michezo , Teknolojia nk.

3_20250720_180852_0000.png
3_20250720_180519_0002.png
5_20250720_180852_0001.png


Mtandao huu Kwa mara ya kwanza ilikua tarehe 13 Mei, 2012 mpaka Sasa umepakuliwa na jumla ya watu milioni moja.

Umefanya update ya Jamii forums Tanzania!!

#jamiiforums #apps #bongotech255
 
View attachment 3412253

Je unatumia mtandao wa Jamii forums Tanzania!! , app ya jamii forums leo wamefanikiwa kufanya maboresho kwa kuweza kubadilisha logo Yao ambayo ilidumu kwa muda mrefu sana.

View attachment 3412254

Mtandao wa jamii forums Tanzania ni jukwaa linalowakutanisha watu Mbalimbali na kuweza kupiga Soga, kupeana ushauri kujifunza mambo Mbalimbali kuhusu Nchi ya Tanzania na Dunia kwa ujumla kuanzia siasa, Elimu , afya, michezo , Teknolojia nk.

View attachment 3412255View attachment 3412256View attachment 3412257

Mtandao huu Kwa mara ya kwanza ilikua tarehe 13 Mei, 2012 mpaka Sasa umepakuliwa na jumla ya watu milioni moja.

Umefanya update ya Jamii forums Tanzania!!

#jamiiforums #apps #bongotech255
Tunaoikubali logo iliyopita tulike hapa 🤣😂🤣😂
 
Kweli Leo nimeamini users wa Jamiiforums wanaipenda sana hii platform, maoni wanayotoa yanatoka moyoni kabisa .

Big up kwenu
 
Sifanyi update labda niwekewe kisu shingoni
Acha mambo ya qysayngay jamvini ebu faster mgeukie na kumtegemea kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali AS aliyeuwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu.
Screenshot_2025-07-18-16-30-28-06_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
Screenshot_2025-07-11-11-53-58-13_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~3.jpg
Screenshot_2025-07-09-18-01-08-90_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
 
Back
Top Bottom