nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,245
- 7,723
Mnaweza mkaandaa programs zenye course mbali mbali hapa hapa jf. Mtu akajisajiri na kuchagua course maalum alafu mwisho wa siku anafanya maswali ambayo akifaulu, anapata chet. Akiamu kwenda kuprint ni yeye akikiacha huko huko kwenye profile yake ni yeye.
Ni mawazo tu ambayo nimeona yanaweza yakasaidia watu kuweza kuelewa mambo mengi kwa muda mfupi ambao wanakua mtandaoni badala ya kupiga umbea na kufuatilia story za watu wasio na faida kwenye maisha yao.
@MaxenceMelo
Ni mawazo tu ambayo nimeona yanaweza yakasaidia watu kuweza kuelewa mambo mengi kwa muda mfupi ambao wanakua mtandaoni badala ya kupiga umbea na kufuatilia story za watu wasio na faida kwenye maisha yao.
@MaxenceMelo