Mwitongo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2009
- 312
- 362
Gazeti la Jamhuri leo limekuja na orodha ya majina ya matajiri matapeli wa madini Tanzania. Wamo kina Rashid Ntimizi (mtoto wa waziri wa zamami), familia ya Aurora, Roger David Mawelle, Tambwe Moses, Papa Msofe, John ChizumoNaftari Njoree (Mmasai), David Kazibwe na wengine wengi. Wanatapeli wazungu hadi Sh bilioni. ORODHA INATISHA. Wameweka na vielelezo.
Pia wameandika bosi wa masogange kakamatwa na unga kilo 50 nchini Kenya.
Chanzo: Jamhuri la leo.
Pia wameandika bosi wa masogange kakamatwa na unga kilo 50 nchini Kenya.
Chanzo: Jamhuri la leo.