Unataka hadith kwa kiswahili?? Isiwe kisingizio...Google translate huyuapaNimekupuuza, kwani hakuna sehemu mi nimeandika kiingereza. Andika kwa kiswahili, nikujibu kwa kiswahili. Ndicho ninachokielewa.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Si umueleweshe tu Mkuu, yanini kuzunguka namna hiyo.
Daah afu ujue nlikuwa nakuona mtu makini sana ujueKweli hauna maana.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unaruka ruka sana,ninapo taka ushahidi namaanisha na najua huna na nimefanya hivi kuonyesha uongo wakk wa kudai una ushahidi hali ya kuwa huna.Unataka QURAN itaje Ushia hivi wewe una akili timamu kweli , ile Iran inaitwa jamhuri ya kiislamu sio jamhuri ya Kishia acha kuuliza ujinga , wale ni waislamu kwanza kabla ya kuwa Mashia , ata wale wakina Answar na muhajirina ni waislamu pia , kigezo cha kuingia katika UISLAMU ni shahada ambayo Mashia wanaitamka kuwa ALLAH ni mmoja na Mohammad ni mtume ,unakwama wapi wewe
Shahada ujui watu wanaikiri wapi au unajitoa akili ? shahada unakiri moyoni na kuthibitisha kwa ulimi kuwa ALLAH ndio Mungu na Mohammad ni mtume wake labda wewe sasa uje uniambie Mungu wa Mashia sio ALLAH na Mohammad mashia hawamtambui , jambo liko wazi unazunguka tu
Kiufupi ni kwamba hiyo hadith inazungumzia nabii Muhammad (S.A.A.W) jinsi alivyokuwa anatamani kufa shahid, alikuwa anatamani yaani kufa kwa ajili ya dini ya Allah. Alikuwa anatamani auliwe, kisha afufuliwe ili auliwe tena kisha afufuliwe, kisha auliwe tena kisha afufuliwe ili kisha auliwe tena. Alikuwa anatamani atangulie yeye ili afe shahid lakini kikubwa kilichomfunga ni kuwa yeye ndio alikuwa kiongozi hivyo alikuwa na dhima ya kuwasafirisha waislam. Kwa mantiki hiyo yeye ni kiongozi hivyo haiwezekani yeye kitangulia na kuacha wafuasi nyuma.Unataka hadith kwa kiswahili?? Isiwe kisingizio...Google translate huyuapa
Sahih bukhari 2797::Mtume (() akasema, "Naapa kwa yeye ambaye uhai wangu u mikononi mwake! Laiti isingekuwa kwa wanaume wengine miongoni mwa waumini ambao hawapendi niwaache na ambao siwezi kuwasafirisha, kwa kweli nisingebaki nyuma ya Sariya '(jeshi-) linaloenda kwa Shtaka la Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye anayeshika mikono yangu! Ningependa kuuawa kwa sababu ya Mwenyezi Mungu na kisha kufufuliwa na kisha kuuliwa, kisha kufufuliwa tena na kisha kuuawa na basi fufuliwa tena na kisha kuuliwa.
Niko makini lakiini muda mwingine inabidi nikupuuze kidogo ili nifanye mambo mengine ya kimaisha, kumbuka kwamba siishi humu JF, na kila mtu na uchumi wake.Daah afu ujue nlikuwa nakuona mtu makini sana ujue
Kwa lugha nyingine alikuwa muoga wa kufa....angekuwa kiongozi angeongoza kwa mfano..real kings die in battle not at their homes having sex with their slave girls....Kiufupi ni kwamba hiyo hadith inazungumzia nabii Muhammad (S.A.A.W) jinsi alivyokuwa anatamani kufa shahid, alikuwa anatamani yaani kufa kwa ajili ya dini ya Allah. Alikuwa anatamani auliwe, kisha afufuliwe ili auliwe tena kisha afufuliwe, kisha auliwe tena kisha afufuliwe ili kisha auliwe tena. Alikuwa anatamani atangulie yeye ili afe shahid lakini kikubwa kilichomfunga ni kuwa yeye ndio alikuwa kiongozi hivyo alikuwa na dhima ya kuwasafirisha waislam. Kwa mantiki hiyo yeye ni kiongozi hivyo haiwezekani yeye kitangulia na kuacha wafuasi nyuma.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Sio mbaya hata some ukikosa hoja ukakubali ...au ukasema ntafatilia zaidiNiko makini lakiini muda mwingine inabidi nikupuuze kidogo ili nifanye mambo mengine ya kimaisha, kumbuka kwamba siishi humu JF, na kila mtu na uchumi wake.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Ukishakiri shahada kwa moyo na kwa mdomo tayari wewe ni MUISLAMU , hoja yako iko wapi ? Umemtangulia nani wewe wacha kujisifu ujinga Ukifanya matendo unatoka katika level ya UISLAMU kisha unakuwa Muumini ata ili nikufundishe lazima ufahamu kuna tofauti ya Muislamu na Muumini , ili uwe Muislamu kiingilio ni kumkiri ALLAH na mtume wake unafikir tunabahatisha hapaUmesahau kumalizia na kutenda matendo kwayo hiyo shahada.
Mimi ukinitaka nikuonyeshe wapi nakuonyesha na shahada ya mashia pia inajulikana ndio maana huwa nakuona mjinga sana,na kukupuuza baadhi ya nyakati.
Hili fundisho kwa mara nyingine nakuonyesha ya kuwa nimekutangulia pakubwa sana katika jambo hili.
Utoto wa kukimbia maswali uache na kupoteza muda.
Hata pia namna wanayo muelezea Allah aliye juu wana makosa mengi sana,tatizo wewe sio msomaji ungekuwa msomaji ningekupa kazi utafute vitabu vya mashia hasa vya TAWHIID usome kipengele cha "al Badaa". Kijana watu huacha kazi na kufanya kazi ya kusoma wewe unatuletea dibaji.
Ushahidi gani wewe unauliza kisichokuwepo mashia wanafata Sunah na Quran , Shahada ipo katika Quran na ipo katika Sunah sasa unataka ushahidi gani au nikuletee nukuu ya kumkiri ALLAH na mtume wake ndani ya QURAN? acha kunichoshaUnaruka ruka sana,ninapo taka ushahidi namaanisha na najua huna na nimefanya hivi kuonyesha uongo wakk wa kudai una ushahidi hali ya kuwa huna.
Ushia kipindi cha mtume haukuwepo,kwa maana una historia na una misingi yake,ndio maana unatakiwa uonyeshe Ushia kwamba ni Uislamu,naujua uwezo huo huna.
Sasa kama Qur'aan haikuutaja Ushia ujue ni jambo jipya na ili uingie katika uislamu unatakiwa uonyeshw hilo. Halafu Irani kujiita wao ni Jamhuri ya Kiislamu huko ni kujiita tu ila hakumaanishi ya kuwa ni kweli Jamhuri ya Kiislam.
Naona unanipotezea muda kijana,huna ushahidi wewe juu ya hili,unaruka ruka leo siku ya pili hutoi ushahidi. Kujadiliana na wajinga kama wewe huwa kazi sana.
Ndio utuonyeshe wapi mashia wanatamka hiyo shahada,unashindwa nini kijana ?
Nimejibu kama ifuatavyo iweje Abubakar swahaba wa Mtume Muda wa kushughulika na msiba wa MOHAMMED ambaye ni rafiki yake amekosa lakini mda wa kuangaika madaraka amepata ? hivi mnataka tuongee lugha gani mtuelewe , mtume alipokuwa hai Abubakar alimganda sana lakini alipokufa ata kuzika mtihani kwake anawaza madaraka badala ya kuwaza mazishi ya mtume , jamani mwenye macho na aoneJibu maswali niliyo kuuliza kwanza,kisha tuendelee. Usikimbie maswali.
Nimekwambia Shahada sio jambo la mashia ni jambo la Mtume ambalo amefundisha , hivyo ukitaka ushahidi nikuletee Hadithi za mtume hakuna hadithi za Mashia uelewi nini weweUsilete dibaji kijana,nasubiri ushahidi hili swali halikwepeki kwako.
Radhi za ALLAH? ata Ibilisi alikuwa mchamungu sasa kaa na ujinga wako hapoSawa, ila kumbuka hao unaowatuhumu katika hadith zote wamepata radhi za Allah.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Acha kujidanganya wewe! Ameongelea ufufuo gani zaidi ya kutamani kwake kufa shahid. Je unaujua ukweli wa kifo cha mjukuu wake ambae ni Hussein (A.S) na je unajua aliwatanguliza hadi nani kabla ya kifo chake!?Kwa lugha nyingine alikuwa muoga wa kufa....angekuwa kiongozi angeongoza kwa mfano..real kings die in battle not at their homes having sex with their slave girls....
Lakini point ni alikuwa anaongelea ufufuo
Acha kujitoa ufahamu kwa urafiki wa mtume na Abubakar inawezekana vip Abubakar asiende kuzika ? ndio ujue kwa Abubakar madaraka yana nguvu kuliko kushiriki kumstiri rafiki yake mtume Mohammad amka kijana fikiri nje ya boksiKuna vitu vina nguvu sana katika uislam kuliko hata kumzika mtu hata hivyo swala la kuzika ni faradhi kifaya, wakifanya hata watu wawili tu waliobaki wote wanapata thawabu na lisipofanywa basi watu wote wanapata dhambi.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unajua Omar alikataa maelekezo ya mtume Mohammad alipotaka kuandika final wish ?Endelea kuamini uaminicho!
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Akili zako sijui umezielekeza wapi, then we sio muislam, kama ungekuwa muislam nahisi ungeona aibu kwa hiki ulichokiongea, Iblis (Laanatullah) eti alikuwa mchamungu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi hatma yake ilikuwa ni nini? Inamaana hujui kuwa licha ya uchamungu wake lakini mwisho wake ulikuwa ni mbaya baada ya Adam kupuliziwa roho?Radhi za ALLAH? ata Ibilisi alikuwa mchamungu sasa kaa na ujinga wako hapo
Kabla ya kuujua Ushia unafahamu kuwa Omar alikataa mtume asiandike final wish siku chache kabla ya kufa kwake ? nakuuliza unalifahamu hiliHuna mpya, ushia tunaujua nje ndani
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nje ya boksi labda nje ya dunia. Inawezekanaje kwa watu ambao wamebashiriwa pepo hali ya kuwa wapo duniani leo hii ndio wawe waasi! Kwahiyo mola wao alikuwa hajui yaliyojificha kwao?Acha kujitoa ufahamu kwa urafiki wa mtume na Abubakar inawezekana vip Abubakar asiende kuzika ? ndio ujue kwa Abubakar madaraka yana nguvu kuliko kushiriki kumstiri rafiki yake mtume Mohammad amka kijana fikiri nje ya boksi