isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,146
- 6,564
- Thread starter
- #21
Tino nilimsahau hivi sasa amepata heshima yake pia.
Tino nilimsahau hivi sasa amepata heshima yake pia.
Ndiyo! WaTanzania wanapatikana japo kwa uchache na wengi wao tayari wamekwisha jivua uTanzania na wengine ni mchanganyiko.
Waasi kwa kipindi hiki cha ubepari sio wa kiwango kikubwa, labda wataalamu wa madawa ya kulevya wanafurushwa na serikali ya Colombia kwa ushirikiano na Marekani.
Siku zote nionapo ID yako naona inasound Latino 😊Asante mkuu napenda sana Salsa kutoka Columbia hasa Sonora Carruseles
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan wakati wa Marehem Chavez Venezuela walikua wanatumia mfumo gani wakiutawala navipi hali yao yakimaisha ilikuaje ?!Shukrani kwa makala mkuu, nchi inastawi kwa kasi sana ndio maana imepokea wakimbizi wengi wa kiuchumi kutoka Venezuela.
Ujamaa ni ufukara na umasikini ila uliberali/ubepari ni neema na utajiri mfano mzuri ni Colombia mabepari na Venezuela wajamaa.
[emoji3][emoji3] Ni kweli,napenda sana Latin musicSiku zote nionapo ID yako naona inasound Latino [emoji4]
😄 J Balvin? Bad Bunny? Becky G? Gente de Zona? Sebastian Yatra? Sharlene Taule?
Pamoja mkuu.
Huu utaratibu wa "Kula" ndio siufahamuJe demokrasia yao ikoje viongozi wao wanapatikana kwa kupiga kula
Asante mkuu napenda sana Salsa kutoka Columbia hasa Sonora Carruseles
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako vizuri ila Gente de Zona nawakubali[emoji1] J Balvin? Bad Bunny? Becky G? Gente de Zona? Sebastian Yatra? Sharlene Taule?
Hakika ni levels! Waliachia Muchacha ft. Becky G ndani ya 4 hours video ikafikisha 1 Million views on YouTube, 5 hours ikawa streamed through Spotify kwa 1 Million streams.
Sana,hivi hawa wanaofanya cover huwa wanapata ruhusa kutoka kwa wahusika?Hakika ni levels! Waliachia Muchacha ft. Becky G ndani ya 4 hours video ikafikisha 1 Million views on YouTube, 5 hours ikawa streamed through Spotify kwa 1 Million streams.
After 23 Hours tukaweka cover [emoji1]