Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Nilipinga pakubwa ujio wa bernard Morrison Klabuni kwetu, Ona sasa kinahotokea. Muda si mrefu atakuwa anazungumza lugha moja na Ajibu.
Huyu Bernad Morison wa Manara siyo yule wa Nugaz, kuna tofauti kubwa Sana. Tuliwaambia, mtamkataa tu.
 
Hatuna kiungo mkabaji zaidi ya Fraga, Mzamiru na Mkude hawana kombinationi nzuri walitugharimu sana mechi ya mbilimbili na yanga ni heri wamchezeshe Nyoni kama kiungo mzuiaji kama Fraga hachezi
 
Unatuletea mambo yenu ya CCM na chadema hapa, pole sana inaonyesha umechanganyikiwa sana Senzo hawezi kuishi na mbumbumbu mana anajielewa sana yule jamaa
Binafsi sioni kama senzo alikua na impact yeyote pale.

Ningeumia endapo angesepa kahata na miquison maana hawa wanamchango mkubwa kwa timu kupata matokeo.

Sasa limendoka jitu lenye kitambi hata danadana halijui unafikiri nani anajali?
 
Barbara fc leo hamjamtuma pesa kwenye namba ya referee na riseman
 
Hapana sikua na feli sana kama mipango ya yanga ilivyo feli tarehe 12 july mwaka huu pale kwa mkapa
Acha July, kuna August, September, October, November, December....
Ongezea mingine
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…