figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Nchimbi usikubali mpelekeshe akulipe afilisike! Kesho tujifunze kuacha kuropoka, kuacha kuambiwa nini cha kusema. uache kuambiwa namna ya kufikiri na chama!
Wanaandika kwa kuropoka ili kutafuta vyeo. Lizaboni ndipo anapowaacha kwa mbaliHawa ndiyo wanaoichafua CCM yetu. CCM inaonekana kichaka cha waropokaji na wepesi katika kujenga hoja. Ni aibu kwa Mwakibinga pamoja na wengine wenye hulka kama yake. LAKINI, ni uungwana kuomba msamaha. Ana bahati, angefanywa mbaya Mahakamani.
Mzee Tupatupa
Najua ameandika hapa ili kukwepa rungu la kisheria. Ila ukweli utajulikana soonNchimbi usikubali mpelekeshe akulipe afilisike! Kesho tujifunze kuacha kuropoka, kuacha kuambiwa nini cha kusema. uache kuambiwa namna ya kufikiri na chama!
Lizaboni huyo si mwenzako wa CCM, mbona unamtakia rungu la kisheria? Au unasema madai ya Mwakibinga bado yako valid, asiyapotezee yana ukweli!Najua ameandika hapa ili kukwepa rungu la kisheria. Ila ukweli utajulikana soon
Bado weweHahahahahahaaaaaaaaaa!
Yamekufika utosini na ushakunaku wako.Hahahahahahaaaaaaaaaa!
Najua ameandika hapa ili kukwepa rungu la kisheria. Ila ukweli utajulikana soon
Wewe ni mmoja kati ya mwanalumba aliyeshadadia ile taarifa ya mwakibinga anayoikana leo.Wanaandika kwa kuropoka ili kutafuta vyeo. Lizaboni ndipo anapowaacha kwa mbali
Bado ww kwa Lukuvi na membeHahahahahahaaaaaaaaaa!
Nyinyi vijana wote wakurupukaji na waropokaji kama mmemeza moto mdomoni mwisho wenu mwaka huu baada ya uchaguzi wa ndani, nawashauri mjipange kwenda kufanya shughuli zingine za kuwaingizia kipato, uganga njaa wenu na vibaraka wenu wote mwisho July......Hawa ndiyo wanaoichafua CCM yetu. CCM inaonekana kichaka cha waropokaji na wepesi katika kujenga hoja. Ni aibu kwa Mwakibinga pamoja na wengine wenye hulka kama yake. LAKINI, ni uungwana kuomba msamaha. Ana bahati, angefanywa mbaya Mahakamani.
Mzee Tupatupa
Kuna Maprofesa wawili na Dokta mmoja wa Sheria. Wamemtisha Mwakibinga. Hata Sumaye ndiyo wanasheria wake waleFK Law Chambers si mchezo!!!