johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Mwenyekiti wa Nccr mageuzi James Mbatia akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi uliopita amesema wanaowazuia kufanya mkutano ndio Magaidi wa Tanzania
Binafsi nadhani Mbatia amefika mbali, ajaribu kuwa mzalendo!
Binafsi nadhani Mbatia amefika mbali, ajaribu kuwa mzalendo!