Mgogoro wa NCCR Mageuzi umeibuka kwa sura tofauti baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia kuzuiwa kufanya mkutano wake na Waandishi wa Habari.
Katika hali ya kutaka kujibu uamuzi wa jana wa chama hicho, Mbatia aliitisha mkutano na Waandishi wa Habari katika Hoteli ya Regency Park, Mikocheni kabla ya kuzuiwa kufanya hivyo.
Alipofika hotelini hapo saa 7:07 mchana, mmoja wa maofisa wa hoteli hiyo alimwambia uongozi wa Hoteli hiyo umetoa maelekezo kuwa haruhusiwi kufanya tena mkutano huo hotelini hapo.
Katika hali ya kutaka kujibu uamuzi wa jana wa chama hicho, Mbatia aliitisha mkutano na Waandishi wa Habari katika Hoteli ya Regency Park, Mikocheni kabla ya kuzuiwa kufanya hivyo.
Alipofika hotelini hapo saa 7:07 mchana, mmoja wa maofisa wa hoteli hiyo alimwambia uongozi wa Hoteli hiyo umetoa maelekezo kuwa haruhusiwi kufanya tena mkutano huo hotelini hapo.