Lukaku16
Member
- Dec 14, 2017
- 21
- 27
Jamaa walitofautiana nini hadi mzee Trump akaamua kumfuta kazi ya ukurugenzi wa FBI huyu bwana, na hatimaye Comey ameandika kitabu "Fire And Fury" na katika moja ya interview na chombo cha habari ameongea dhahiri kuwa "Trump is morally unfit to be commander in chief." Kuna nini kinachoendelea kati ya hawa watu wawili, nitafurahi kupata full mkanda kutoka kwenu wajuzi wa mambo............