Jambo Leo: Zitto na Dr. Slaa wachuana urais 2015, Zitto kama Ngasa na Dr. Slaa kama Messi


Kama ni hivo basi ngassa atachukua ushindi
 

kweli kabisa mkuu!cdm wapo makini. Ushauri wangu kwa ccm kujipanga kuwa chama makini na kikuu cha upinzani 2015. Lakini ikimbwela kitapotea kabisa if kama ataendeleza u.p.u.m.b.a.v.u wake wa kukipigia kampen cdm kutokana na fitna zake za kukibana cdm na ikiendelea kuruhusu serikali kufanya uuni kwa wananchi walio iweka madarakani. Nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…