Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
zitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.
Chadema inakubalika..subiri matokeo leo jioni
zitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.
zitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.
hata mie nyakati yangu yaja...sio hao tu kwakuwa wametangulia tupo majembe pia huku...tumechilii tunamalizia masomo kwanzaZito aache papara. Ana akili na uwezo wa kuchanganua mambo ila papara na haraka zake zitamuharibia mambo mengi. Awache kichwa ( dr slaa) awanyoe ccm kwa chupa. Wakati wake ukifika atapewa bila kulazimisha anachokitaka. Akileta ubishi na kujua kwingi atakosa vyote. Tulia kama Lisu na Mnyika. Nyakati zenu zaja
,well said mkuu zzk kagaragazwa vibaya na dr. Slaa huwezi sema 85% na 15% (approx.) ni mchuano mkali, huo ni mzaha wa hali ya juu!
zitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.
JAMBOLEO LIMEANDIKA LIKITAKA WATU WENYE MTAZAMO KAMA HUO, HAWANA NIA NJEMA NA HAWAFIKIRII KUINDIKA CDM VIZURI NIA NI KUWAGDWA WATANZANIA ILI TUENDELEE KUTAWALIWA NA MAFISADI, PIA ILI KATIBA IENDELEE KUMWONA RAISI WA TZ MUNGU, KAMA SI MUNGU KWANINI AWEJUU YA SHERIA? Na ukilisema kwa wajinga watakuambia kwa sababu raisi ni kikwete, tuna tatizo habari leo inawataka wajinga na wajinga wanajitokezazitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.
watu makini hawawez kumshindanisha zito na dr slaa. Kwanza kwan chadema hakina watu zaid ya huyu?
zitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.
zitto anakubalika kwa WATANZANIA wote, Dk SLAA anakubalika kwa WAKRISTO tu.