Jambo la hatari

Jambo la hatari

serengo

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
488
Reaction score
362
Wana JF nimekuwa nikijiuliza kila kukicha Tanzania wanaongelewa wasomi kila kukicha , nafasi zote za uongozi zimekuwa za wasomi , hebu tujiulize huu utitili wa wasomi tulio nao umeisaidia nini Tanzania? mbona nchi inaelekea kubaya tofauti na kipindi ambacho hatukuwa na wasomi wengi, tunawasomi hata kutengeneza SINDANO hawawezi kila kitu tunaagiza kutoka nje ya nchi, kazi yao kujidai wasomi na degree za kununua au elimu za kwenye MAKARATASI ndo maana wanakuwa na uelewa mdogo?leo hii kila msomi anataka awe kiongozi serikalini wanalenga kuiba tu hakuna cha maana, tungewatambua usomi wao kama wangeleta mabadiliko mfano kwenye elimu, afya , uchumi , wasomi wetu wamebaki kupiga kelele za kuongezewa posho ndo maana tunazalisha division 5, ni mda umefika tuwahoji wasomi wetu hizo PHD zao wameifanyia nini tanzania, kuna watu wanaelimu ya kawaida sana form iv hadi vi lakini wanauelewa kuliko mtu mwenye PHD, hivyo tukiendekeza maswala ua usomi nchi yetu itapoea, tua Ndo tumpe uongoziangalie uelewa wa mtu na ameifanyia nini nchi yetu.
 
Wana JF nimekuwa nikijiuliza kila kukicha Tanzania wanaongelewa wasomi kila kukicha , nafasi zote za uongozi zimekuwa za wasomi , hebu tujiulize huu utitili wa wasomi tulio nao umeisaidia nini Tanzania? mbona nchi inaelekea kubaya tofauti na kipindi ambacho hatukuwa na wasomi wengi, tunawasomi hata kutengeneza SINDANO hawawezi kila kitu tunaagiza kutoka nje ya nchi, kazi yao kujidai wasomi na degree za kununua au elimu za kwenye MAKARATASI ndo maana wanakuwa na uelewa mdogo?leo hii kila msomi anataka awe kiongozi serikalini wanalenga kuiba tu hakuna cha maana, tungewatambua usomi wao kama wangeleta mabadiliko mfano kwenye elimu, afya , uchumi , wasomi wetu wamebaki kupiga kelele za kuongezewa posho ndo maana tunazalisha division 5, ni mda umefika tuwahoji wasomi wetu hizo PHD zao wameifanyia nini tanzania, kuna watu wanaelimu ya kawaida sana form iv hadi vi lakini wanauelewa kuliko mtu mwenye PHD, hivyo tukiendekeza maswala ua usomi nchi yetu itapoea, tua Ndo tumpe uongoziangalie uelewa wa mtu na ameifanyia nini nchi yetu.
hukumbuki kazi ya prfesa kapuya na bint yatima au huo sio usomi?? watoto wetu wanauza madawa ya kulevya hakuna wa kuwakamata wewe ni nani unaeshindana na serikali???
 
tatizo watu hawana uzalendo na uchu wa madaraka umewafanya hata ma prof kutokutumia proffesional zao kwa kuhofia nafasi zao
 
hii nchi inahitaji maombi ya kitaifa , , inatakiwa waje masheikh kutoka maka,, maaskofu, mapadri na papa mwenyewe kutoka rome italy, watanzania wote waombewe!!!!!
 
eti wasomi,,,, nimewadharau sana wasomi watanzania,, kiukweli wengi ni vilaza, ndio mzee, usomi wao hauna msaada kwa jamii,,, usanii mwingiiii,,, wanavyuo waliopo vyuoni wengi Nao bongo movie, mapenzi yamewajaa vichwani, kifupi makamasi tu. mtu anadegree lakini uelewa mdogo mpaka basi... mpaka nawaza kuna siku tunaweza ongozwa na watu ambao hata si watanzania,,, hatuko makini Kwa kifupi...
 
Wasomi bandia, sio hoja kuwa Dr kufanikisha mambo

Kwi kwi kwi kwi DR.J.KIKWETE,DR.A.MREMA,DR.A.MAKINDA,DR.NCHIMBI etc. Hii ni hatari sana katika mapinduzi ya kiuchumi kama userious kama alivyo presidaa.
 
mkuu hilo la kuongozwa na watu wasio wa tanzania sio geni mbona idara nyingi tu mfano wakurugenzi, madiwani, wenyeviti wa mitaa wamekamata nyazifa hizo huku wakiwa siyo watanzania , hilo siyo la kushangaa ,idara zetu kama vile uhamiaji ni vilaza tupu
 
mtu wa phd akikosa kazi anakufa njaa tanzania bana. wakiwa na phd wanakimbilia siasa kwa sababu hawawezi kufanya chochote nje ya hapo.
 
Wana JF nimekuwa nikijiuliza kila kukicha Tanzania wanaongelewa wasomi kila kukicha , nafasi zote za uongozi zimekuwa za wasomi , hebu tujiulize huu utitili wa wasomi tulio nao umeisaidia nini Tanzania? mbona nchi inaelekea kubaya tofauti na kipindi ambacho hatukuwa na wasomi wengi, tunawasomi hata kutengeneza SINDANO hawawezi kila kitu tunaagiza kutoka nje ya nchi, kazi yao kujidai wasomi na degree za kununua au elimu za kwenye MAKARATASI ndo maana wanakuwa na uelewa mdogo?leo hii kila msomi anataka awe kiongozi serikalini wanalenga kuiba tu hakuna cha maana, tungewatambua usomi wao kama wangeleta mabadiliko mfano kwenye elimu, afya , uchumi , wasomi wetu wamebaki kupiga kelele za kuongezewa posho ndo maana tunazalisha division 5, ni mda umefika tuwahoji wasomi wetu hizo PHD zao wameifanyia nini tanzania, kuna watu wanaelimu ya kawaida sana form iv hadi vi lakini wanauelewa kuliko mtu mwenye PHD, hivyo tukiendekeza maswala ua usomi nchi yetu itapoea, tua Ndo tumpe uongoziangalie uelewa wa mtu na ameifanyia nini nchi yetu.

Yaeleka una jambo la kuwasilisha lakini hukuweza kufanya hivyo. Usije nawe ukajikuta kwenye kundi kama hilo!

Hebu angalia maelezo yote hayo uliyoandika, ni sentensi mbili tu! Ndo maana hueleweki vizuri unalalamikia nini.

Kwa kiasi kidogo nilichokuelewa, unazungumzia wasomi wapi? Hawa akina Lukuvi? Akina Dr, Dr, Dr, Dr Kikwete? Dr Magufuri? Dr Bendera? Sijui kama unakumbuka yaliyomo kwenye kitabu cha Msemakweli Kainerugaba (Mafisadi wa Elimu)? Muhimu elewa kwamba sehemu kubwa ya walioko madarakani ktk nchi hii siyo wasomi. Nadhani unafuatilia yaliyompata mkurugenzi wa wanyama pori. Linganisha uelewa wake na ule wa waziri wake, Nyarandu, hata kwa kuwaangalia usoni tu.

btw. Ulisikia Mh. Sitta alivyozungumza? Kwa sifa anazopewa kama mtu wa viwango, kweli ni mtu mwenye uelewa wa kutegemewa? Ukiniuliza mimi nitakueleza udhaifu wake.
 
Tznia hatuna wasomi tuna wasomi wakwenye makaratasi..km unataka kuamini embu afukuzwe kaz..anachakaa utafikiri chzi.
 
Tznia hatuna wasomi tuna wasomi wakwenye makaratasi..km unataka kuamini embu afukuzwe kaz..anachakaa utafikiri chzi.

Hapana! Tusiwalaani moja kwa moja. Wasomi wapo tena wengi kabisa lakini mfumo uliopo haujaruhusu au haujatoa nafasi ya wasomi kufanya kazi. Hao akina Kapuya ni wasomi lakini wana matatizo binafsi ambayo hayana uhusiano na usomi wao. Na hilo hutaliondoa kichwani kwa usomi na tena wako kila nchi. Ni sawa na akina Timothy Mcveigh. Sawa na akina Snowden. Kwamba pamoja na kuwa msomi bado hisia binafsi zinabaki. sSerikali makini inabidi iwatafute walio na niya njema na utumishi unaohitajika.

Tatizo la nchi yetu ni kung'ang'ania watu wale wale´, wengine tangu serikali ya wamu ya Kwanza kama Sitta anavyojitapa, bila ufanisi wowote!
 
Back
Top Bottom