johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
- Thread starter
-
- #21
Chadema limebakia jina tu!Pia aliikuta chadema imara, yenye hoja na sera zenye uhai. Lkn leo kaiacha chadema ya hovyo, yenye sera mfu na hoja za kuvizia matukio ya watu.
Wasiwasi hakuna bwashee!Si mmeshakata source? Wasiwasi wa nini sasa bwashee
Hata 2015 CCM walikuwa wamoja, lkn walisimamisha wagombea wawili kupitia vyama viwili tofauti. CCM original Magufuli na CCM B (kupitia kivuli cha chadema) akasimamishwa Lowasa. Lipumba elimu yake ilimsaidia kuliona hili mapema akatimka.Kwa sasa CCM ni Wamoja bwashee!
Tena jina lenyewe limebaki mitandaoni, na sio mitaani.Chadema limebakia jina tu!
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.
Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk
Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Vipi akina mama wenzako wapo Pwani wewe uko wapi mkuu?Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.
Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk
Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Bora hataYuko motoni anaokwa kama ndafu kudadadeq
Huyo mzee Mgaya hivi ni nani? Honestly simjui though namsikia kila sikuMleta uzi na Mgaya akili zao ni sawa.
Huyo mzee Mgaya hivi ni nani? Honestly simjui though namsikia kila siku
Tuko kwa mama Kimaro tunamuonjea mbege!Vipi akina mama wenzako wapo Pwani wewe uko wapi mkuu?
Yupo Lumumba!Huyo mzee Mgaya hivi ni nani? Honestly simjui though namsikia kila siku
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.
Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk
Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Bado mko segerea?
Hahahaaaa...... Bwashee haya maisha ni mafupi bora tufurahi tu hapa Jf!Nimecheka hadi Machozi kaka!
Kweli watu na shughuli zenu...
Hivi ni Kweli Mkuu wanakulipa au Ni Porojo za hapa Jukwaani?
Mi machozi ya Kicheko hapa baada ya Kusoma uzi flani kuwa kuna watu wamezuiwa kuwaona ndugu/Jamaa segerea...
Ila Kaka Unafurahisha mnoo Johnlabda na kuudhi pia
Kuna posho kwa maza leo shauri yako akina mama wenzako wanapewa nauliTuko kwa mama Kimaro tunamuonjea mbege!
Nimewaona akina Mdee!Kuna posho kwa maza leo shauri yako akina mama wenzako wanapewa nauli
Kuna posho kwa maza leo shauri yako akina mama wenzako wanapewa nauli
Ni wenzako haoNimewaona akina Mdee!