Jambo jema: Hayati Magufuli alikabidhiwa CCM ikiwa na mpasuko mkubwa lakini ameiacha ikiwa moja na Imara zaidi

Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.

Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk

Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.

Nawatakia Sabato yenye baraka!
Sawa kabisa
 
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.

Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk

Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.

Nawatakia Sabato yenye baraka!
Na hichi ndicho kinacho wakera upinzani kuliko kitu chochote, CCM moja kwa kila mwanachama.
 
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.

Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk

Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.

Nawatakia Sabato yenye baraka!
Unatafuta ugomvi na Msoga Gang! Wao Magufuli wanamuona kama mpinzani.

JamiiForums mobile app
 
Wazee wa legacy tunakoment wap????
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.

Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk

Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.

Nawatakia Sabato yenye baraka!
 
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.

Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja nk nk

Lakini pia Magufuli aliongeza mtaji kwa CCM kwa kuwapokea wanachama lukuki wa Chadema na ACT wazalendo waliounga mkono juhudi akiwemo Katibu mkuu wa Chadema Dr Mashinji na mwenyekiti wa Bavicha Patrobas Katambi.

Nawatakia Sabato yenye baraka!
Kama ccm ni imara basi hebu tuwe na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ndo nitakubaliana na maoni yako ukweli ccm ilishakufa zaman kwa ss inalindwa na plc ccm
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom