Yanga akabidhiwe Manji timu itatulia, Kama simba walivompa MO
Timu haina hela inasua sua tu
Sidhani kama umeelewa nilichoandikaMkiwa nayo ninyi timu haiwezi kutulia???? Shame on You...Yaani Yanga tangu mwaka 1935 wanachama mawazo ni kuongozwa na kusaidiwa tu??? Ni lini wanayanga wataweza kujiamini na kuendeesha mambo yao bila kutegemea kusaidiwa???
Ataelewaje wakati amepost kwa unazi.Sidhani kama umeelewa nilichoandika
Simba mpk Leo viongozi wapo lupango kwa wizi hujiulizi kwann?Mkiwa nayo ninyi timu haiwezi kutulia???? Shame on You...Yaani Yanga tangu mwaka 1935 wanachama mawazo ni kuongozwa na kusaidiwa tu??? Ni lini wanayanga wataweza kujiamini na kuendeesha mambo yao bila kutegemea kusaidiwa???
Unashangaa Simba badala ya TFF?Simba mpk Leo viongozi wapo lupango kwa wizi hujiulizi kwann?
Huu Uzi unajadili matumizi ya bangi ndani ya club ya YangaSimba mpk Leo viongozi wapo lupango kwa wizi hujiulizi kwann?
Ukistaajabu ya simba utayaona ya TFFSimba mpk Leo viongozi wapo lupango kwa wizi hujiulizi kwann?