Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 416
Kwe2niKwe2 lakini si haki. Hivi mnajua kama mioyo yetu ni miepesi sana? Kama ni kicheche ndio utake kuonja mchuzi. Ila dah umenichoma moyo maana wengine tuna maradhi ya kupenda na kutendwa
Lakini nyamayao nikwambie kweli watu wa huko kukaja nadhani wengi wao wanazo tabia hizi. Mimi ninamfahamu mtu ambaye aliolewa kabisa na mtu wa huko ambaye hakumwambia kuwa ameoa tayari kwao. Ilikuwa patashika mbona ndoa ilivunjika mwanamke hakutaka utani alikusanya virago vyake akaanza mbere.
Mengine tena kama yepi?? Labda ukute mwingine anataka freedom halafu umbanie. Lakini kila utakacho nakupatia. Na huyu dada yaonyesha alikuwa bado anampenda jamaa ila jamaa hakuwa mwaminifu hakuweka yote wazi. Mie ningeipata hiyo BNS (Breaking News) ata cjui ningefanyaje. Hivi mkoje???
Mengine tena kama yepi?? Labda ukute mwingine anataka freedom halafu umbanie. Lakini kila utakacho nakupatia. Na huyu dada yaonyesha alikuwa bado anampenda jamaa ila jamaa hakuwa mwaminifu hakuweka yote wazi. Mie ningeipata hiyo BNS (Breaking News) ata cjui ningefanyaje. Hivi mkoje???
[/I][/COLOR]
nimuelekeze kwako! LOL, lakini wanaume jifunzeni kuwa wakweli jamani, mie naona waliporudiana kipindi kile angemwambia 2 ukweli kwamba kipindi tulipotofautiana nilifanya ustaarabu huu na ule ili mdada wa wa2 ajijue yupo vipi, sasa mpaka akakubali kufanya engagement kumbe anajua linalondelea haaa 2pelekeni taratibu jamani.
Siku zote penye ukweli uongo hujitenga,sasa hii ukijumlisha papara ndiyo unapotea kichizi kama rafiki yako alivyojichanganya.Unajua katika mahusiano kunahitaji umakini katika kuchagua mtu wa kufunga nae ndoa.Na hiyo ni kutokana na ndoa kuwa ni taasisi nyeti.ni wakristo!anahofia ile engagement party 2liyokula itakuwaje, ataeleza vipi home kwamba alikaa na lim2 kwa cku zote hizo bila kujua kama ameoa au laa! swali langu kwake jana lilikuwa""mbona ulisema uliendaga mbeya kwa wazazi wa mchumba kutambulishwa sasa ilikuwaje tena?...kumbe alitudanganya hakufikaga huko but alisema alikwenda.
Tatizo kubwa la wasichana wengi wepesi sana kudanganyika.
Na mkiona jamaa ndo anazo mfukoni kama Liumba aaaah basi mtajipelekapeleka wee mpaka anawazunguka wote huku pembeni unadai una mchumba ambae ni spare nae akikushtukia anakumwaga anamtafuta mwingine......
Mtaishia kumegwa na vibabu.
Jeni dia ucpopata hiki utapata kile,inaelekea hujatendwa kabisa, ukitendwa utakuwa na moyo mgumu kidogo.
F80 c wote wanapenda ku-Liumbiwa. Ata wanaume wapo ambao wanapenda kwa sadala. Na utakuwa unajitahidi uwezavyo ili mradi atulie kumbe kama umemtia pili2 anachoropoka utadhani utelezi.
Ndio wapo wanaume wanashuka sana kwa sadala
Fidel80 sijaelewa hii sentesi....expound plse
hahaha mkuu hii nimeona hapo kwa Jeni anadai na wanaume wanapendana sana kushuka kwa sadala maanake wanapenda vya bure.
Nyamayao kutendwa nimeshatendwa sana mpaka inafikia stage unaona hao viumbe wa kazi gani.