Jamani wahudumu wa bar mbona mko hivi?

Jamani wahudumu wa bar mbona mko hivi?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Dada zetu wahudumu wa bar kwanini mteja wa kiume akija kunywa bar peke yake mnamchangamkia kwa bashasha uchangamfu kibao lakini mteja huyo huyo akija tena kunywa na mke wake mnanuna na kukunja uso muda wote?

Eti wakuu kama kuna mwenye uelewa zaidi atujuze please,wahudumu muwe honest.
 
Dada zetu wahudumu wa bar kwanini mteja wa kiume akija kunywa bar peke yake mnamchangamkia kwa bashasha uchangamfu kibao lakini mteja huyo huyo akija tena kunywa na mke wake mnanuna na kukunja uso muda wote?

Eti wakuu kama kuna mwenye uelewa zaidi atujuze please,wahudumu muwe honest.
Wanakuepushia matatizo baadae na mke wako ...
 
Lukelo, wewe umevuta jiko juzi tu hata wiki haijaisha tayari unataka uchangamkiwe na ma barmeid. shemeji akiona hii sredi yatakutokea puani.
Nisalimie shemeji
 
Ukija na mkeo anabana fursa ...wengi wao wezi tuu, Kama una tabia ya kuweka simu mezani wanabeba simu wakati wa kufuta meza.

lewa sasa uone
 
aliyeokoka nadhani hatakiwi kuwa bar.....hivyo ngoja nihamie thread zingineeeee
 
Back
Top Bottom