Mbona apo naona mkali mmoja tu mkuu,na apo hatujaona kama ni Mashallahaa, hao wengne kawaida
In short watoto wa kawaida sana hata hapa Bongo wapo zaid ya hao
Beauty is subjective na pia ni universal,, ka uzuri wa huyu kishtobe ( 2 kushoto) cdhan kama kuna mwanaume atasema huyu sio mzuri wa mwonekano,, Ka kuna mwanaume anamwona huyu sura yake sio, ana wivu wa uke wenza huyo