Jamani tuwe serious na nchi hii.

Jamani tuwe serious na nchi hii.

malisoka

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,860
Reaction score
2,639
Hii ndiyo timu ya mfano ya uokoaji pale majanga yanapotokea.

kweli tupo serious na wananchi wa nchi hii.


AhHI2xMf2z-tQeUc2-LN8-BZmFNQf7OEE4O2n9Cwi0eu.jpg





Je Sisi wananchi tupo salama?

Ah-nKq3q2U8k418VzDqEqu9Aj-Mud6pp56VQddcQcVMK.jpg




Huu ni uzembe ni mbaya sana.

Kama ni usingizi basi ni wa fofofofo!
 
I say this is too serious. Kwanza chopa inaanguka saa kumi na mbili jioni, serikali kupitia waziri wa malia asili anasema chopa ilopoanguka kwa usiku hakuendeki kisa mbungani. Matako yake. CCM must go
 
Mzee Kingunge alisema chama cha mapinduzi(CCM) kimeishiwa pumzi na hakina uwezo wa kuipeleke nchi hii juu kimaendeleo alikuwa na maana kwamba serikari ya CCM imefika hapo ilipofika BASI.

Leo nilikuwa naongea na Mwalimu mmoja mkuu wa Shule ya Msingi Mjini Dodoma na kunieleza kwamba shule ina watoto/wanafunzi 1600 na madawati shule nzima yapo 200, sasa jamani hataka kama waseme. CCM ebu muone aibu. siwezi kuitaja shule lakini ipo dodoma mjini kabisaa. Na kuongeza hata kadi za kujaza maendeleo ya wafunzi wa darasa la kwanza hazipo huu ni mwaka wa pili.

Jamani tunaenda wapi?
 
hiki ndo kitengo cha maafa na majanga tanzania kweli hatujajiandaa kuokoana katika maafa ila tuna the so called kitengo cha maafa na majanga nchini, pamoja na vifaa bora kama hiyo machela mfano tosha tuko makini maana inaonesha imeagizwa toka Marikani
 
I say this is too serious. Kwanza chopa inaanguka saa kumi na mbili jioni, serikali kupitia waziri wa malia asili anasema chopa ilopoanguka kwa usiku hakuendeki kisa mbungani. Matako yake. CCM must go

Aroo unatukana asarani eeh..!!

ha ha haaa unachesea jeshi raa porisi eeh..?

Matako yako ngoja nije nikushughulikie inaelekea umesahau ile cyber kraimu wewe.
 
kama zama za nawe vile yani bora hata enzi za mkoloni eeee mola bora utunyime vyote ila tujaalie akili na maarifa
 
Nchi hii ina maumbo ya kijima sana aisee bado hatuna rescue team iliyokamilika
 
Ah-nKq3q2U8k418VzDqEqu9Aj-Mud6pp56VQddcQcVMK.jpg


Hii picha inawakilisha jinsi CCM isivyo na huruma kwa watanzania yaani wameweza kuwatendea hivi wanaCCM wenzao je kwa sisi wananchi wa kawaida watatutendea vipi? yaani maiti ya mwanaCCM inapakiwa kwenye machela ya miti? mambo haya yalikuwa yakifanyika hapo miaka ya 47 na sio sasa.
 
Inasikitisha sana je mfano wasinge kufa si wangeliwa hata na simba ccm kweli ya kuondoa tu.
 
Back
Top Bottom