KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wana wa familia ya JF habari za wakati huu natumai mu wazima.
Natumai kuna mtu alikwisha wahi andika humu suala hili kama miaka miwili iliyopita ila naona hawa jamaa hawaendi na wakati na teknolojia ya mawasiliano ya sasa.
Suala lenyewe ni kuhusu WEBSITE yao na kwa kila Hifadhi.Hifadhi hazina tovuti na kama zina tovuti hazina habari zilizo up to date najiuliza hivi watu wanao waajiri wa IT wanashughurika na nini?.Ninachowashauri hebu jaribuni kwenda na wakati kwa kuzifanya tovuti za hifadhi zenu ziendane na wakati na kuripoti matukio na habari kwa muda uaotakiwa.Unaweza ukawa unahitaji kuelewa nitafikaje katika hifadhi fulani kutalii kama mtalii wa ndani taratibu ni zipi zinifuate ili niweze fika mahali hapo ila inakuwa vigumu sana hadi usubirie maonyesho ya nanenane ndio wakupe maelekezo kwa mdomo,sasa mimi ninayeishi Mtwara nahitaji kutembelea hifadhi ya Serengeti nitajuaje jinsi ya kufika huko ni mengi sana yanayowasibu ila leo naishia hapo.
Nawasilisha.
Natumai kuna mtu alikwisha wahi andika humu suala hili kama miaka miwili iliyopita ila naona hawa jamaa hawaendi na wakati na teknolojia ya mawasiliano ya sasa.
Suala lenyewe ni kuhusu WEBSITE yao na kwa kila Hifadhi.Hifadhi hazina tovuti na kama zina tovuti hazina habari zilizo up to date najiuliza hivi watu wanao waajiri wa IT wanashughurika na nini?.Ninachowashauri hebu jaribuni kwenda na wakati kwa kuzifanya tovuti za hifadhi zenu ziendane na wakati na kuripoti matukio na habari kwa muda uaotakiwa.Unaweza ukawa unahitaji kuelewa nitafikaje katika hifadhi fulani kutalii kama mtalii wa ndani taratibu ni zipi zinifuate ili niweze fika mahali hapo ila inakuwa vigumu sana hadi usubirie maonyesho ya nanenane ndio wakupe maelekezo kwa mdomo,sasa mimi ninayeishi Mtwara nahitaji kutembelea hifadhi ya Serengeti nitajuaje jinsi ya kufika huko ni mengi sana yanayowasibu ila leo naishia hapo.
Nawasilisha.