Jamani serikali ina mpango gani na ajira za walimu?

Jamani serikali ina mpango gani na ajira za walimu?

sir issame

Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
7
Reaction score
2
Jamani serikali ina mpango gani na ajira za walimu? Msaada wadau maana naona kimya sana.
 
Ukiona wako kimya nawewe unapiga kimyaaa.

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona wako kimya nawewe unapiga kimyaaa.

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Sasa wasiwe wanaaahidi vitu ambavyo havitekelezeki kwa wakati huo waloahidi

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
ajira zipo ukiwa na haraka utakonda fanya kaa hazipo utaona zinatangazwa.
 
kuna ajira zimetoka jana za walimu ila nilipoangalia nimeona wamechukua 2015 kurudi nyuma..!!!
 
Bdo unasubir ajira. Huyo mnayemuita mzalendo hana mpango wa kuajili walimu wa masomo ya sanaa
 
magazeti mengi leo yamesema serikali imetoa kibali cha ajira 10000 ili kuziba pengo la vyeti feki na wanatakiwa kuripoti mwezi wa nane ila link ya majina sijaiona mwenye kujua atujuze
 
Hamuna ajira saizi jiajili mwenyewe

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
kuna ajira zimetoka jana za walimu ila nilipoangalia nimeona wamechukua 2015 kurudi nyuma..!!!
Wameajiriwa walimu waliokuwa wamebaki yaani walioambiwa watume tena vyeti vyao kwaajili ya ajira ya nyongeza ndo wameajiriwa jana.
 
Daaa nimesota kitaaaa mpaka kelo ani naishia kuuza bagia na degree yangu

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom