Reli ya TAZARA ushawah kupita? Kuna kituo kinaitw "Kidunda" mi ndo nipo ndani ndani huku Selous tupo watatu tumepga kambi. Kuna jamaa ametufadhili hapa tupo full na mahitaji.. nina kama mwezi sijaliona duka wala raia.
Hapa nilipo nasikia fisi kwa mbaali.. dah, haya maisha haya..!?