Jamani nataka jibu kwa hili

Jamani nataka jibu kwa hili

Lolipop

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
349
Reaction score
81
Mimi naomba kujua ni kwa nini wanaume wanapenda kubadilisha badilisha wanawake kama nguo? Kwani haiwezekani mwanaume akatulia na m/mke mmoja? Vivyo hivyo kwa wanawake pia. Naomba kujuzwa wana MMU.
 
ngoja waje wanaobadilisha badilisha kama nguo wakujibu
 
Shida nini kama anabadilisha wakati hajaoa na hawi na mpenzi zaidi ya mmoja kwa wakati huo huo??????
 
Kama vile unavyobadilisha mitandao ya kijamii.. Mara facebook, mara wozap, mara 2Go, mara Qeep, mara Tagged, mara Jf, mara Mf, mara twira, mara chit., mara.....!

Hua tunataka kujua wengine wanafaidi nini huko waliko. Ila ukishajua sasa unachagua sehemu moja ambayo haipiti siku hujaitembelea... Na huyo ndio mke/mume sasa.

Just a Fasihi.. do at your own risk.
 
Kama vile unavyobadilisha mitandao ya kijamii.. Mara facebook, mara wozap, mara 2Go, mara Qeep, mara Tagged, mara Jf, mara Mf, mara twira, mara chit., mara.....!

Hua tunataka kujua wengine wanafaidi nini huko waliko. Ila ukishajua sasa unachagua sehemu moja ambayo haipiti siku hujaitembelea... Na huyo ndio mke/mume sasa.

Just a Fasihi.. do at your own risk.

We jamaa umeelezea vizuri tu, kama hajakuelewa inabidi umtafute umcholee na picha umuelekeze labda anaweza kujaribu kuelewa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwa kuwa hizo 'nguo' zenyewe zinapenda zivaliwe na kila mtu
 
Si umeshasema wanapenda, hiyo inamaanisha hiko kitu wanakipenda na kitu ukikipenda unaweza kukukosa sababu za moja kwa moja kwanini unakifanya.
 
Sio rahisi. Sisi tumeumwa namna hiyo. ...badili mboga

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom