Pole sana! Hivi uko kidato cha ngapi?
ushasema ni mama mkwe..huyo ni sawa na mama yako.wewe mtumie hizo ela huwez kujua anashida gani na mpaka kakuomba wewe.au labda amekosa msaada kwengine akaona wewe waweza kumsaidia.mpaka mtumzima kuomba ela ujue anashida vinginevyo asingefanya hivyo.
msaidie kama unazo na uchukulie kama unamsaidia mama yako mzazi.usidhani kama wanakufanya kitega uchumi..wewe siumependa banaa basi shughulika..
ushasema ni mama mkwe..huyo ni sawa na mama yako.wewe mtumie hizo ela huwez kujua anashida gani na mpaka kakuomba wewe.au labda amekosa msaada kwengine akaona wewe waweza kumsaidia.mpaka mtumzima kuomba ela ujue anashida vinginevyo asingefanya hivyo.
msaidie kama unazo na uchukulie kama unamsaidia mama yako mzazi.usidhani kama wanakufanya kitega uchumi..wewe siumependa banaa basi shughulika..