Smiller
Senior Member
- Feb 10, 2014
- 181
- 41
Lakini ndicho anachokuwa nacho moyoni, kwann ktk hali ya kawaida asiyaseme? ...huwa naamini chochote mtu asemacho akiwa
1. Hasira
2. Amelewa
Mara nyingi huakisi kile alichonacho akilini mwake juu ya mtu huyo, ila hathubutu kuyasema akiwa 'mzima'
Yeah dats it !! No more say