Mambo?hongera kwa kuitwa interview, kwa CRDB ability test ni maswali ya kwaida sana ila yako very tricky. Pitia mtandaoni google, andika aptitute test, pitia maswali yoyote yatakueka pazuri. Ila interview zinafuatana sana ivo jitaidi kujiandaa kwa interview ya pili maana uwa ndo inawaacha wengi. Ya kwanza ni pure kutoka kwenye aya ma google questions, ya pili ndo inakuwa professional. Ukiitwa uka pass ya kwanza na ya pili apo tayari jiandae kuitwa banker kwa kuwa hawa watu wana utamaduni wa kuita only the cream with good GPA ,so kama umitwa probability ya kupata kazi ni 98%
Mawsali yanakuwa mengi, almost 300 na muda kawaida ni 1hour, alafu yote yanapigwa kwenye kompyuta na sio written,so kaa vizuri, usipanic,ujue si kumaliza maswali ila accuracy na speed ndo vitakupa job.
For more clarification unipm ntaku guide japo kidogo.
gsana