ha ha ha ha ha, ma bro . ajira zimekuwa ngumu kila kijana anaweza jeshi as if ni ajira rahisi pia.
na huko jeshi ni kugumu sana kuingia, especially kama unatoka familia zetu izi .
any way kama unania na jeshi nenda kaserve miaka miwili JKT ndo utaingia kirahisi zaidi , but tambua JKT hakuna mshahara kuna posho tu ..
Goodluck