Brian blvk
Member
- Feb 11, 2019
- 60
- 95
Toka lini mkuu na inakuja baada ya kulogin au nnhata mimi naona hivo hivo mkuu.... tusubili tu labda wapo kwenye selection
hamna ukishaingia online applications ndo inakuja hivoToka lini mkuu na inakuja baada ya kulogin au nn
ndo ivo hadi huku sielewToka lini mkuu na inakuja baada ya kulogin au nn
Ni system yao tu hakuna shidahamna ukishaingia online applications ndo inakuja hivo
jaman nisaidien kuelewa juu ya hii kutoka nacte
wakifungua ndo kunakua na results auMfumo umefungwa
Subiri wafungue
asa matokeo liniNi system yao tu hakuna shida
asa matokeo lini
dah nacte wanachelewwshaBado mana ata mimi nilimwombea dogo hapa nasubiri watoe hizo selection
wakifungua ndo kunakua na results au