duda
Senior Member
- Mar 23, 2011
- 113
- 25
Asubuhi nikiwa naelekea kazini, nikaona magazeti mengi tu moja wapo likanivutia na gazeti hilo ni RISASI nikaona KIAMA nikataka kujua kulikoni??????????
Niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi amini macho yako. Kuna muumini mmoja wa dhehebu la EAGT ameoteshwa na Mungu kuwa tarehe 21 May ni siku ya KIAMA, hivyo watu tujiandae, pia ameeleza kuwa ndio maana babu wa Loliondo katumwa ili kuwaponya watu. nae baada ya kuoteshwa akaamua kumsimamisha binti yake shule ili ajiandae vema kwenda katika ufalme wa Mungu.
hakuishia hapo amesema kama hii haitatokea basi apigwe mawe mpaka afe kama manabii wengine wa uongo walivyofanywa.
jamani twaenda wapi???????? Tafakari!!!!
Niliyoyakuta huko ndani wana JF huwezi amini macho yako. Kuna muumini mmoja wa dhehebu la EAGT ameoteshwa na Mungu kuwa tarehe 21 May ni siku ya KIAMA, hivyo watu tujiandae, pia ameeleza kuwa ndio maana babu wa Loliondo katumwa ili kuwaponya watu. nae baada ya kuoteshwa akaamua kumsimamisha binti yake shule ili ajiandae vema kwenda katika ufalme wa Mungu.
hakuishia hapo amesema kama hii haitatokea basi apigwe mawe mpaka afe kama manabii wengine wa uongo walivyofanywa.
jamani twaenda wapi???????? Tafakari!!!!