Msaada plz nipeni maneno yafuatayo in English.
-Chenza= satsuma(sina uhakika..duh)
-Filigisi
-Makongoro
-Kidumu Chama Cha Mapinduzi=kataangalie maana ya neno evil/devil kwenye dictionary ya english-swahili
-Ungo wa kupepetea mchele.
-Chapati
-Mishikaki....