Sasa wew kaoge njia panda utakuwa na nuksi maana niliona unalalamika kila msichana hakutaki leo tena umempata ila umeachwa ila pole
Wapendwa mimi sina hata wa kunifariji,yote hii kisa nimeachika.Nilikuwa na mpenzi wangu tuliokuwa tunapenda sana ila aliamua kuniacha bila kuniambia sababu, sasa mimi nimebaki mpweke.
Please naombeni ushauri wenu
Jiandae weka tigo/m/z/ pesa standbyMrembo bado upo mpweke?Hata mm mpweke
Mrembo kama upo serious naindikie tuongee mawili matatu chemba
1. Una umri gani?
2. Unajishughulisha na nini?
Maana hii post yako ya pili naiona ina maudhui yale yale.
Nijibu nione kama unafaa kuhifadhiwa na mimi.
Wapendwa mimi sina hata wa kunifariji,yote hii kisa nimeachika.Nilikuwa na mpenzi wangu tuliokuwa tunapenda sana ila aliamua kuniacha bila kuniambia sababu, sasa mimi nimebaki mpweke.
Please naombeni ushauri wenu
umuifadhi au akuifadhi?
Wapendwa mimi sina hata wa kunifariji,yote hii kisa nimeachika.Nilikuwa na mpenzi wangu tuliokuwa tunapenda sana ila aliamua kuniacha bila kuniambia sababu, sasa mimi nimebaki mpweke.
Please naombeni ushauri wenu