INSPECTOR JOE
Member
- Apr 14, 2014
- 26
- 12
Wapendwa mimi sina hata wa kunifariji,yote hii kisa nimeachika.Nilikuwa na mpenzi wangu tuliokuwa tunapenda sana ila aliamua kuniacha bila kuniambia sababu, sasa mimi nimebaki mpweke.
Please naombeni ushauri wenu
Please naombeni ushauri wenu