Jamani mimi mapenzi tena basi!

Natamani uwe katika situation niliyopo kwa sasa ndo utaujua ukweli, ila hata hivyo nashukuru kwa mtazamo wako ndugu.
Ukifikia umri wa kusadikika utanielewa. Miaka 27 bado kijana na huo wasifu ulijibambikia wengi wenu ndio mnaamini ni njia bora ya kupata msichana na kumlaghai. Note nimetumia neno msichana na sio "Mwanamke".
 
Ukifikia umri wa kusadikika utanielewa. Miaka 27 bado kijana na huo wasifu ulijibambikia wengi wenu ndio mnaamini ni njia bora ya kupata msichana na kumlaghai. Note nimetumia neno msichana na sio "Mwanamke".
Shukrani pia kwa mtazamo wako.
 

ukimaliza kunya ntarudi kukushauri ngoja nimalize kula daku kwanza.
 
Nov. hadi May hii umetoa na mahari??
Ukapiga apate mimba ndio ukatoe mahari?..ishu ya mahari ilianzaje anzaje kwa posa ya kawaida au kuuwa soo la ujauzito? Amini usiamini hapo umeliwa timing dogo.Ulishaharibu msingi wa uchumba wenu, ulipaswa utumie muda sana kutafuta kujuana na mwenzio. Fahamu kuwa huyo alijua unataka uone km yuko fertile au lah! Hivyo akaamua kufanya yake na msela wake faster apatee mimba ili ndoa ifungwe, na ndio huyo uliemkuta anakula tunda unalolilia. Na hii ndio udhaifu uliokugharimu kwenye mahusiano yaliyopita. Fedha,Usharo + kupiga vizuri papuchi havikusababishii umwin mwanamke kwa 100% not even 50%. Without material things, just be real on who you are.Unapokuwa naye ishi maisha yako na yake..Na hiyo ndiyo silaha ya Mtu makini.
 
Ongea na wazee wako mrudishe mahari huyo sio mke wa kuoa, kama anarukaruka na kiumbe tumboni, hafai

Inakuja suala jingine hapa, mtoto atakuwa ni wako kweli huyo? DNA ihusike tafadhali immediately akishajifungua

Afu you are young, live alittle, achana na stress za commitment sasa hivi. . We tafuta pesa, fanya mambo ya maendeleo na kula bata kidogo, ukiwa unasubiri ukue kue
 
unajua tatizo letu wanaume wengi linapokuja suala la kuwa na mpenzi /mwanamke huwa tunakimbilia kuangalia sura au umbile zuri ili tuheshimike mtaani.kimantiki hawa viumbe wa aina hii ni wasumbufu sana wakiringia uzuri wao.issue sio uwezo au kumtimizia wahitaji yote.hawa binadamu ni wadhaifu Mara nyingi kuhimili mikimikiki ya kutongozwa wameumbiwa huruma kama vile sisi wanaume tulivyo dhaifu kwao kimapenzi.hivyo basi tulia tafuta mwanamke kwa vigezo vya maadili,dini,na kujitambua.sio sura au figure, huyo piga chini mimba sio sababu kwani mwenyewe huna uhakika kama ni ya kwako.
 
Sijui nina kasoro gani maana kila ninapopenda natendwa, sijui ni kwanini kwa sababu ninadhani ninavyo almost vitu vyote ambavyo mabinti au wanawake hupenda kwa mwanaume, lakini nashangaa kila mwanamke nimpendae mwisho wa siku huishia kunitenda, kama sio kuniacha basi atanisaliti.

Hapo ndipo unapoharibu acha kuhis una kila watakacho hawa watu any way usimpe attention kubwa kivile maana tabia yao wakishaona hupindui kwake anatafta kitu kigum kwake so sometime usisomeke
 
mbona si suala la kuwaza,mwache aende...Mali ziache...waelezee ulichokiona wazazi wote wa pande mbili kisha achana nae...mtoto akizaliwa Pima DNA kama wako tua matunzo...jiolee mwanamke mzuriii...tatizo mnachagua sana....na mkiwa na vihela ndo mwataka vizuri sura vinawaumbua
 
Umetokea kamachumu?
Mwanamke wa peke ako utampata kweli?
Pole
 
Siamini katika kuvumilia matatizo huenda akabadilika huko mbeleni. Namaanisha, kama mtu amekusaliti hata ukimuoa hayo ndiyo maisha mtakayoishi.

All the best
 
Asante ndugu yangu, roho yangu inaniuma sana, kwanini majaribu haya? kwann lakini? huyu mwanamke kanitenda mno
Unajua Mapenzi Ni siri kubwaaaaa!!! Je ukiwa Na mwanamke huwa Unamtreat VP.Kwa Maana ya kauli?? Je unafanya ahisi yeye Ndo yeye?? Maana kwa uliyotaja Ni dhahiri kwamba wanawake wengi wangependa wakumiliki, but inaonekana kauli ya majisifu au kumchukulia mwanamke as Trash, ushauri: mbali Na kuwa Na kipato Jaribu kuwa mnyenyekevu kwa wanawake kwa kauli tulivu Na ya kubembeleza.Mara nyingi wanaume wenye kipato kama wewe huna basi wa naweza kuwafanyia wanawake chochote,mfano,wakati wa tendo unamparamia kama jogooooo, chumbani hakuna kumuandaaa hapo lazima akimbie, au unampatia msaada wowote huku unamsimanga au anakula unamsimanga' mfano.' Kwenu vipo vyakula kama hivi au Sasa unanawiri hukuja ivi au unakuwa arrogant tu bila reason yoyote.Ebu tuanzie hapo kwanza.Mwisho tulia kwanza then uje ulete tangazo humu la kutafuta mchumba but weka vigezo unavyopenda Nakwambia utamsahau Huyo Na mahali samehe.Yeye Ndo ataumia maisha yake yote.Kuhusu Mtoto Endelea kuhudumia akizaliwa Pima DNA au angalia Kucha za miguu kama mnafanana.
 
Uache kujipendekeza Kwa Mademu. Wanawake ukijipendekeza umejichimbia kaburi.

Tabia ya wanaume wanaojipendekeza ni kama;

1. Kulalamika lalamika kila mara.
2. Kumshobokea demu kila muda yaani wewe ndio unajipendekeza kupiga simu na kutuma text wakati demu yeye Hana habari.

3. Kumsifia sifia na kujiliza liza kama jike. Mara oooh mbona unatumika, mbona hujibu text zangu na blah blah kibao.

4. Kuwa na kademu kamoja kama mke wako. Kijana lazima uwe na vidosho hata vitano. Ukiwa navyo hivi huwezi kuleta mada za namna hizi huku.

We unafikiri demu gani atakubali kuwa na mwanaume aliye-single. Mademu hupenda kusikia wasifu wako unaokutambulisha kama mwanaume rijali. Na urijali ni nini kama si kuwa na mademu wengi.

Uache kujipendekeza Kwa Mademu alafu uje kunambia
 
Hii risala ni ndefu mno, nitarudi ngoja nikamwite shangazi yangu ukhuty!
 
Ushauri wangu mkuu nenda Kwa wazazi wake kadai mahari yako then huyo demu mrudishe kwao hadi ajifungue then mkapime DNA mengine yatafuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…