Jamani! milegezo mbona aibu kubwa hii!.

Jamani! milegezo mbona aibu kubwa hii!.

Qualifier

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
1,252
Reaction score
408
Wapendwa wana jamvi,

Nimepanda daladala kutoka Mbezi ninaelekea Kibaha, kuna jamaa alipandia daladala mbezi na ameshukia kiluvya ni mtu mzima kiasi, kwa kumkadiria yuko umri wa 30s amevaa mlegezo suruali ya jeans iliyo pauka , ile anashuka mlongoni, shati likapanda juu kiasi kwamba boxer aliyovaa yenye michirizi ya rangi ya kijivu na nyeusi ikawa inaonekana na ina matobo ya kuchakaa mpaka ngozi ya makalio yake inaonekana watu wamecheka na kutema mate pptuuuuuu!

Jamani watu wenye tabia ya kuvaa milegezo acheni mnatia aibu!

NAWASILISHA
 
Wapendwa wana jamvi, nimepanda daladala kutoka Mbezi ninaelekea Kibaha, kuna jamaa alipandia daladala mbezi na ameshukia kiluvya ni mtu mzima kiasi, kwa kumkadiria yuko umri wa 30s amevaa mlegezo suruali ya jeans iliyo pauka , ile anashuka mlongoni, shati likapanda juu kiasi kwamba boxer aliyovaa yenye michirizi ya rangi ya kijivu na nyeusi ikawa inaonekana na ina matobo ya kuchakaa mpaka ngozi ya makalio yake inaonekana watu wamecheka na kutema mate pptuuuuuu!!!! Jamani watu wenye tabia ya kuvaa milegezo acheni mnatia aibu! NAWASILISHA

kinachonishangaza wengi wanaovaa hii milegezo wana vest na boxer chafu na chakavu kabisa sasa sijui wanaona fahari gani kuonyesha!!!
 
Bandugu sikufanikiwa kupiga picha ila ninawasihi wavaaji wa legezea kama hawawezi kuacha basi wahakikishe nguo zao za ndani ni nzima na safi.
 
wangekuwa wasafi tungesema wapo kwenye biashara sasa hizo boxer na singlend ni nyeusiiiiii....na hayo makalio mpaka yana ukurutu..dah ni shida!
 
Tyta picha tafadhali
Tyta hayupo kaenda kuoa Baggamoyo
448.jpg
374768_10150434460804198_781164197_8345252_1183598905_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hata Wadada Nao Wanavaa Milege Akiinama Hivi Unakuta Kavaa Litaiti Lichafu Leusi Hadi Kinyaa
 
Wapendwa wana jamvi, nimepanda daladala kutoka Mbezi ninaelekea Kibaha, kuna jamaa alipandia daladala mbezi na ameshukia kiluvya ni mtu mzima kiasi, kwa kumkadiria yuko umri wa 30s amevaa mlegezo suruali ya jeans iliyo pauka , ile anashuka mlongoni, shati likapanda juu kiasi kwamba boxer aliyovaa yenye michirizi ya rangi ya kijivu na nyeusi ikawa inaonekana na ina matobo ya kuchakaa mpaka ngozi ya makalio yake inaonekana watu wamecheka na kutema mate pptuuuuuu!!!! Jamani watu wenye tabia ya kuvaa milegezo acheni mnatia aibu! NAWASILISHA

pull-up-your-pants-law1.jpg


game-sag.jpg
 
Wapendwa wana jamvi, nimepanda daladala kutoka Mbezi ninaelekea Kibaha, kuna jamaa alipandia daladala mbezi na ameshukia kiluvya ni mtu mzima kiasi, kwa kumkadiria yuko umri wa 30s amevaa mlegezo suruali ya jeans iliyo pauka , ile anashuka mlongoni, shati likapanda juu kiasi kwamba boxer aliyovaa yenye michirizi ya rangi ya kijivu na nyeusi ikawa inaonekana na ina matobo ya kuchakaa mpaka ngozi ya makalio yake inaonekana watu wamecheka na kutema mate pptuuuuuu!!!! Jamani watu wenye tabia ya kuvaa milegezo acheni mnatia aibu! NAWASILISHA

Tunaomba picha Mkuu!! Ni aibu mkuu.
 
Back
Top Bottom