Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 .nina rafiki yangu ambaye tumek pamoja tangu utoto mpaka tunakuwa wakubwa na tulitokea kuzama ktk mapenzi baada ya kuwa wakubwa ingawa no sexual act have been done kati yetu.kiukweli tulipendana.lakini baadaye niligundua kuwa yeye ni mkubwa kwangu by 2 yrs na mim sikutaka kuoa msichana mkubwa kwangu. baada ya muda nikajikuta nimependa msichana mwingine na nataka nijenge naye future yaani nimempenda sana. But here is the problem yule wa kwanza anafight nimwoe na sijawahi kumwambia kuwa nimempata mwingine ila nimewahi mwambia kuwa nataka msichana wa umri wangu na alilia kwa uchungu sana ikabid nimpoze kwa kumwambia it is okay, na huyu wa pili nimemwambia ntamwoa akimaliza shule
please advice!
natanguliza shukrani
please advice!
natanguliza shukrani