Wanajamvi
Umofia kwenu.
Naombeni tuelimishane ni kwanini ukimchumbia msichana wakati wa send off na wakati wa Harusi badala ya kuwapa watu tabasamu furaha analia wakati alikubali mwenyewe na akaomba tuungane naye kufurahia
Je anaogopa muhogo wa kila siku au ndo nini tena
Nawasilisha