Jamani huyu shemeji kaka nimsemee au nichune tu!

kaizer kuzidiwa kawaida kwa binadamu,nyinyi wanaume mkizidiwa mnaviwanja vyenu mnaibukia night kali na condom zenu mfukoni sema uongo?

uongo tena usio na shaka faith.,,kwanza hatuendi usiku,,,,,,,sio sheria ya infidelity

hapo kwenye kondom watacomment wapwa Asprin, Fidel au Roya Roy.,.......:confused2:

sasa wewe unazidiwaje na ni mke wa mtu ama sikuelewa?
 
kaizer naomba nisikujibu swali lako la mwisho!
ila kikawaida kuzidiwa hata kama upo na mume,mke boyfriend etc ipo...inawezekana kuna sehemu unayotaka ifikiwe haifikiwi,au ndoa ya kwenye makaratasi tu unyumba kushney,au mnaishi mbalimbali....hope umenielewa!
 
kaizer naomba nisikujibu swali lako la mwisho!
ila kikawaida kuzidiwa hata kama upo na mume,mke boyfriend etc ipo...inawezekana kuna sehemu unayotaka ifikiwe haifikiwi,au ndoa ya kwenye makaratasi tu unyumba kushney,au mnaishi mbalimbali....hope umenielewa!


alrite alrite faith....usije ukakwazika bure jiachie....

hapo kwenn red, naona unafaa kazi flani kwen chama chetu,,,,ngoja wadau watakupitisha rasmi!
 
alrite alrite faith....usije ukakwazika bure jiachie....

hapo kwenn red, naona unafaa kazi flani kwen chama chetu,,,,ngoja wadau watakupitisha rasmi!

Chama gani?
mimi ni Mwanachama hai wa chama fulani tena bora unibadilishe dini kuliko chama....pole kwa hapo..
 
uongo tena usio na shaka faith.,,kwanza hatuendi usiku,,,,,,,sio sheria ya infidelity

hapo kwenye kondom watacomment wapwa Asprin, Fidel au Roya Roy.,.......:confused2:

sasa wewe unazidiwaje na ni mke wa mtu ama sikuelewa?

Retired!:behindsofa:
Chama gani?
mimi ni Mwanachama hai wa chama fulani tena bora unibadilishe dini kuliko chama....pole kwa hapo..

Chama chenyewe kinaruhusu kuwa mwanachama wa vyama vingine....don worry!:eyebrows:
 
Dada hakuna dhambi mbaya kama ukimkubalia huyo jamaa, kwani kama kaweza kukutongoza wewe na ni rafiki wa mke wake, una uhakika gani hatawatongoza pia rafiki zako utakaomtambulisha ukiwa kwenye mahusiano fedhuli na yeye?,

alafu itamuuma sana rafiki yako kama anamwamini kiasi hicho jamaa ake wewe jaribu kumfundisha maisha huyo shosti wako kwa namna ambayo hatakuchukia, mweleze jinsi wanaume walivyo na ajaribu kumfatilia mumewe, nakushauri tafuta tu mpenzi wako mwenyewe ata akienda nje unajua nyumbani ni kwako na yeye coz agood man is hard to find dada
 
wadau mambo yenu?
mwenzenu niko kikazi kwenye mji fulani,ni miezi 9 sasa.naishi peke yangu. nimetokea kuwa karibu na dada fulani ambae ofisi zetu zipo karibu.mwanzoni tulikuwa tunakuwa pamoja lunch time. baadae ushost ukanoga hadi majumbani kwetu na ulinoga zaidi alipogundua mimi na mumewe ni kabila moja tukawa mawifi tena.na mume mtu nae akawa kaka.
basi huyu mkaka tangu anijue imekuwa shida akisafiri analeta mizawadi kibao kwangu haswa vyakula na vinywaji na shost anajua na huwa ananiambia kakako anakupenda kweli hawezi kupita siku bila kukutaja jamani...yeye anamwamini sana mumewe na anasema tangu amfahamu hajawi hata kuhisi kama anamwanamke...eti hata kutongoza hajui...........eti nisali sana nipate mume mwema kama wake...huyu shost ni rafiki mzuri tu kwangu na naamini ananipenda.............ila ukweli ni kwamba huyu mumewe tangu siku ya kwanza ameniona ameoyesha kunitamani na kiukweli ananitongoza sana...mara kadhaa ameshakuja home kwangu peke yake akimuwaga mkewe anakuja kumsalimia dada kumbe anakuja kutongoza nimemkemea hadi kumtishia kumsemea kwa mkewe hakomi....hivi juzi tu karudi safari toka wapi sijui kaniletea zawadi za ajabu ajabu ambazo zinafanya nimwone hanielewi......nawaza kumwita mkewe nimshtakie ila nahofia hataniamini au ushost utaisha......................WADAU NAOMBA USHAURI!


Uaminifu kwa rafikiyo ni muhimu, kama unaujali. Hizi ni zama za teknolojia. Tegesha mahali video camera umsubiri aje, kisha uiset kwenye RECORD na hakikisha asijue. Ataendelea na tabia yake ya ubazazi, wewe kaza msimamo, endelea kumtishia hivyo hivyo. Akiondoka, mpigie simu shoga yako kisha akija mkabidhi mkanda, au mkae chini na kuutazama wote, aujue ukweli.

Inawezekana wamuonea huruma shoga yako, lakini, kama mumewe anakutongoza wewe, anawatongoza wengine pia huko nje. Mwanaume anayependa kwenda nje ya ndoa yake, haendi mara moja. Muonja asali haonji mara moja.
 
wadau mambo yenu?
mwenzenu niko kikazi kwenye mji fulani,ni miezi 9 sasa.naishi peke yangu. nimetokea kuwa karibu na dada fulani ambae ofisi zetu zipo karibu.mwanzoni tulikuwa tunakuwa pamoja lunch time. baadae ushost ukanoga hadi majumbani kwetu na ulinoga zaidi alipogundua mimi na mumewe ni kabila moja tukawa mawifi tena.na mume mtu nae akawa kaka.
basi huyu mkaka tangu anijue imekuwa shida akisafiri analeta mizawadi kibao kwangu haswa vyakula na vinywaji na shost anajua na huwa ananiambia kakako anakupenda kweli hawezi kupita siku bila kukutaja jamani...yeye anamwamini sana mumewe na anasema tangu amfahamu hajawi hata kuhisi kama anamwanamke...eti hata kutongoza hajui...........eti nisali sana nipate mume mwema kama wake...huyu shost ni rafiki mzuri tu kwangu na naamini ananipenda.............ila ukweli ni kwamba huyu mumewe tangu siku ya kwanza ameniona ameoyesha kunitamani na kiukweli ananitongoza sana...mara kadhaa ameshakuja home kwangu peke yake akimuwaga mkewe anakuja kumsalimia dada kumbe anakuja kutongoza nimemkemea hadi kumtishia kumsemea kwa mkewe hakomi....hivi juzi tu karudi safari toka wapi sijui kaniletea zawadi za ajabu ajabu ambazo zinafanya nimwone hanielewi......nawaza kumwita mkewe nimshtakie ila nahofia hataniamini au ushost utaisha......................WADAU NAOMBA USHAURI!

Jihadhari na huyo mtu. Atakuharibia maisha bure. Mwambie kuwa utamweleza mke wake kila kitu kwa vile anamwamini. Ni mnafiki huyo inawezekana kwa mkewe anajiweka tofauti kisha kwako hivyo. Fanya kazi yako kistaarabu mume wako atakuja achana na huyo shem.
 
sina nye.. hizo jamani za kutembea na mume wa shost nikizidiwa nitaingia hata mitaani kutafuta ila si yeye lol!
miezi tisa yote hiyo bado hujazidiwa? duh kweli we kiboko mie hata nikicheda asubuhi jioni nakuwa nimezidiwa
 
miezi tisa yote hiyo bado hujazidiwa? duh kweli we kiboko mie hata nikicheda asubuhi jioni nakuwa nimezidiwa

hii ni kweli,tena si mpaka jioni!ukimaliza tu hiyo phase one ukaona kiumbe nyingine, mwili unakuwa hauna hiyana kwani unataka tena!
 
miezi tisa yote hiyo bado hujazidiwa? duh kweli we kiboko mie hata nikicheda asubuhi jioni nakuwa nimezidiwa

Sijasema nina miezi tisa sija DUU nimesema miezi tisa niko kwenye huu mji niliopo nikiishi peke yangu....haina maana kama sinanilii nyinyi vipi bana....hata hivyo mmenichekesha!
 
kaizer kuzidiwa kawaida kwa binadamu,nyinyi wanaume mkizidiwa mnaviwanja vyenu mnaibukia night kali na condom zenu mfukoni sema uongo?

mmmmh!we Faithful, hivo viwanja kumbe na wewe unavijua!
 
wadau mambo yenu?
mwenzenu niko kikazi kwenye mji fulani,ni miezi 9 sasa.naishi peke yangu. nimetokea kuwa karibu na dada fulani ambae ofisi zetu zipo karibu.mwanzoni tulikuwa tunakuwa pamoja lunch time. baadae ushost ukanoga hadi majumbani kwetu na ulinoga zaidi alipogundua mimi na mumewe ni kabila moja tukawa mawifi tena.na mume mtu nae akawa kaka.
basi huyu mkaka tangu anijue imekuwa shida akisafiri analeta mizawadi kibao kwangu haswa vyakula na vinywaji na shost anajua na huwa ananiambia kakako anakupenda kweli hawezi kupita siku bila kukutaja jamani...yeye anamwamini sana mumewe na anasema tangu amfahamu hajawi hata kuhisi kama anamwanamke...eti hata kutongoza hajui...........eti nisali sana nipate mume mwema kama wake...huyu shost ni rafiki mzuri tu kwangu na naamini ananipenda.............ila ukweli ni kwamba huyu mumewe tangu siku ya kwanza ameniona ameoyesha kunitamani na kiukweli ananitongoza sana...mara kadhaa ameshakuja home kwangu peke yake akimuwaga mkewe anakuja kumsalimia dada kumbe anakuja kutongoza nimemkemea hadi kumtishia kumsemea kwa mkewe hakomi....hivi juzi tu karudi safari toka wapi sijui kaniletea zawadi za ajabu ajabu ambazo zinafanya nimwone hanielewi......nawaza kumwita mkewe nimshtakie ila nahofia hataniamini au ushost utaisha......................WADAU NAOMBA USHAURI!

Yeye amekuwa dhaifu ila lamsingi niwewe na msimamo lakini kwenda kumshitakia haisaidii sanasana unabomoa nyumba ya rafiki yako kwani utakuwa umeweka mafuta nakuwasha moto kuuzima nitabu kama shoga yako ameshakutamkia kwamba KAKAYAKO ANAKUPENDA AIISHI SIKU BILA KUKUTAJA JUA HILO NITATIZO!!Japo hakumalizia kilichokuwa moyoni!!kwani ujue hupo under surveillance!!ulikuwa ujajigundua!!mwambie yeye mimisitaki akizidi screen kwanguvu kama unamfokea nazawadi usichukue tena lakini kama malizake unataka utakoswa nguvu zakumkemea!!!
 
Back
Top Bottom