Yah, Lusinde. Mi hawa jamaa huwa nashindwa kuwafananisha kisura na kitabia.kibajaj...yule alieporomosha mitusi
Mkuu nimejaribu kuikuza hapo lakini naona inanisumbua. Bila shaka watakuja wadau kutoa msaada kwa hilo.Jamani hebu naombeni msaada wa kukiuza tuione uzuri
Mkuu nimejaribu kuikuza hapo lakini naona inanisumbua. Bila shaka watakuja wadau kutoa msaada kwa hilo.
Kama mwigulu vile!
![]()
Na huyo aliyekalia kiti siyo yule aliyetaka kuzichapa kwenye uwt?mbona ka shigongo vilee