hi miss chit chat umepewa zile vocha za simu kama zawadi isikute tumetoa mapovu ya kampeni bure kumbe zawadi hewa nijibu nilipue jipu
Walio wahi kufundishwa naomba mtwambie huyu jama anafanya nini, au ndo staili ya kuomba nyongeza ya salary?
View attachment 70293
UD Seminar Room eti?Mandhari kama ya Chuo vile??