'ipende kazi yako hata kama maslahi hayalipi'
Walio wahi kufundishwa naomba mtwambie huyu jama anafanya nini, au ndo staili ya kuomba nyongeza ya salary?
View attachment 70293
Walio wahi kufundishwa naomba mtwambie huyu jama anafanya nini, au ndo staili ya kuomba nyongeza ya salary?
View attachment 70293
Baina na Wana JF,
Heeeheee, Dis is Funny !!! Na Kikwapa chake Kinatema haswaa,
Labda Urefu wake na Ubao ni Mfupi + Madoido ya Kazi.
Nawakilisha
Hiyo walasio bongo,labda kiwe ni chuo tena vya kisasa,hakuna shule ya secondari bongo hii ina sakafu yenye tiles na mwalimu aliechomekea na kuwa smart kama huyo.
hi miss chit chat umepewa zile vocha za simu kama zawadi isikute tumetoa mapovu ya kampeni bure kumbe zawadi hewa nijibu nilipue jipuHahahahahah hilo pozi somo lazima lieleweke!
Walio wahi kufundishwa naomba mtwambie huyu jama anafanya nini, au ndo staili ya kuomba nyongeza ya salary?
View attachment 70293