MALAGASHIMBA
Member
- Dec 7, 2011
- 71
- 8
hapana ndugu mnyarwanda hawezipewa nafasi kama hiyo, nchi yetu iko makini na ina mifumo imara ya kuchuja watu, kwenda tu kigali haitoshi kuthibisha kuwa ni mnyarwanda hebu tupe data za kutosha ili ueleweke
Nchi gani hiyo unayoisema?moja ya mambo ambayo yako legelege hapa Tz ni pamoja na hili la wagen.Warundi,Wanyarwanda,Wakenya,Waganda, Wasomali,Wasouth wengi tu wanaishi kienyeji na wanapata madaraka kama kawaida.