Wewe unaifahamu Damu ya Yesu? Umesha iona Damu ya Yesu? Unafahamu maana ya Damu ya Yesu? Unamfahamu Yesu? Jiratibu kijana. Yesu si Isa wa Jibril.
Mwenye mada kesha sema nini kinamtokea usiku usiku, sasa wewe unataka kuuliza tena swali la nini wakati jibu lipo? Sheytwain na Majini yote Machafu hayana chake mbele ya Damu ya Yesu.
Mark 16: 17 And these signs shall follow them that believe; In my name shall they cast out demons;
Hivyo basi, huyu Ndugu yeye Atumie Damu ya Yesu kwanza, halafu mengine yatafuata.
Pole, si peke yako Mbaraka Mwinshehe naye yalimkuta hayo na akafanya hivi:
moro jazz - mtaa wa saba
Huyu jamaa sijamuelewa kabisa post yake misamehe kwa kweli.
Anaongelea kazi mix na nyumba anayoishi majirani zaje mix na gharama za umeme wa kuchangia...dah pole yangu.
Kuna vitu ambavyo vinakufanya umshukuru Mungu hujawahi kutana navyo.
Nashindwa kufikiri ni nyumba ama unahitaji tiba ya akili. Labda ukaongee na daktari compenent aisee
Suala sio Mungu kuingia mtaani akaanza kuponya watu!
Hayo ni malumbano ya taahira!
We unasema damu ya yesu ni kiboko yao!. Sio??
Sasa;
Pale muhimbili kuna wagonjwa weeengi mno ambao kwa mtazamo wako woote wana pepo mchafu! Na labda wengi wao wamepewa majini na waislamu.
Sasa wee wafanyie msaada. Manake kwanza wewe ni mchungaji na hiyo dawa unayo. Sasa we Peleka kiboko yao. Hio damu ya yesu!.
Halafu ukishawafukuza hao pepo wachafu nitumie ripoti nikupe heko.
Na zawadi!
Kama hukutoroka bila suruali!
Na msalaba wako umetangulia mbele!
Hahahahaha!😀😀
Kuna Doctor mmoja hapo muhimbili psychiatric ward! Rafiki yangu saana.
Ameona maneno yako. Ameniambia nikuulize. ! Eti unachanganya vitu gani kupata hio damu!
Yuko tayari kukiuka mipaka ya utabibu . Na anataka kujaribu hio Damu!
Manake wagonjwa wa pepo wachafu wamezidi na nafasi wodini zimejaa!
Angeshkuru saaana kama utafanya fasta kidogo!
Acha kudanganya watu huna chochote unachojua kuhusu bibilia,naona unataka kujilinganisha na Mungu..Sasa hapa ndio tunaona matatizo ya kwenda kwenye ibada halafu mnaaambiwa na mchungaji
"fungua kurasa ya tatu, kitabu cha wagalatia, haya someni"
NA NYIE MKASOMA!
Halafu mchungaji anasema" Fungeni kitabu tuombe" halafu mnafunga macho, mnaomba! mkitoka hapo hamuangalii kipi mmesoma au ni kwanini mmesoma,mpaka jumapili ijayoooo!
Sasa huhitaji kwenda chuo kikuu kufahamu kuwa, haiingi akili hata siku moja, Dhambi na makosa ufanye wewe halafu aumie na kubeba hizo dhambi mwingine, eti tu kwa sababu "Andiko limesema"
wakristo na waislamu wote tunakubali kuwa Yesu ALIPENDWA na MUNGU NDIO MAANA AKACHAGULIWA KUJA!
Sasa huyo huyo Mungu aliompenda amtoe kafara kwa ajili ya Dhambi za MAXSHIMBA NA KAHTAAN, !
Jamani! hayo kweli ni mapenzi hayo??
Haaaa! kama mapenzi ndio namna hiyo ,
Nadhani hata wewe MAXSHIMBA mungu akikupa hiyo offer sidhani kama utakubali,
Hata mimi mapenzi hayo ya kusulubiana na kumwaga damu yangu kwa ajili yako siyataki,
AU kuna mtu kutoka Bongoland yuko tayari kufanya hivyo,
kama yupo ajitokeze!!
sasa kama hili alikubaliki kwa binaadamu, vipi leo linakubalika kwa Mungu muumba na mwenye huruma kwa viumbe wake, tena hizi sifa za huruma ya mungu ziko humohumo kwenye " ANDIKO".
sasa kama unavyodai MAXSHIMBA !KWAMBA YESU KATESEKA KWA AJILI YANGU NA YAKO ni kweli, hio siku tukimuuliza Mungu Je huu ndio upendo uliomuonyesha mtumishi wako YESU?? ATATUJIBU NINI.
kahtaan, hana lengo la kudanganya watu, yeye kajibu hoja jinsi anavyofahamu mambo.Acha kudanganya watu huna chochote unachojua kuhusu bibilia,naona unataka kujilinganisha na Mungu..
Kipi hapo Yesu kasingiziwa,huwezi ukawa mfuas wa Yesu alafu ukampimia,wewe huna ufuasi wowote zaidi ya uasiKweli kabisa kila mtu anahaki ya kutoa maoni yake! Lakini unapotoa maoni kuhusu yesu! Hayo yanakuwa sio maoni binafsi
Hapa unamuongelea mtu mkubwa katika historia na kama utamzulia uongo sisi tunaemuheshimu hatuwezi kukunyamazia ! Eti kwa sababu ya uhuru wa kuongea! Allaaaa!.
Hebu sema kama wewe damu yako itaokoa watu uone kama mimi ntasema kitu.
Watu wanadhani Yesu ni kama bidhaa. Utaisema utakavyo au utaisingizia utakavyo na sisi wafuasi wa Yesu tunyamaze tu. !!
Thubbutu!!
Kajibu anavyojua yeye ndio akili yake ilipoishia hapo,nimemjibu kwamba akili yake anailinganisha na Mungu ndio maana akamjibia kitu ambacho anadanganya watu,kwa mtu anaejitambua ni rahis kumjua yeye ni mtu wa aina gani..kahtaan, hana lengo la kudanganya watu, yeye kajibu hoja jinsi anavyofahamu mambo.
Kwahivo na wewe ungemjibu kwa hoja mkuu ili watu wanaosoma hapa wajifunze kitu!
Kajibu anavyojua yeye ndio akili yake ilipoishia hapo,nimemjibu kwamba akili yake anailinganisha na Mungu ndio maana akamjibia kitu ambacho anadanganya watu,kwa mtu anaejitambua ni rahis kumjua yeye ni mtu wa aina gani..
Huko unakoishi kuna wanga, wewe binafsi mrudie Mungu uwe unasali kabla hujalala lakini pia tafuta mtumishi wa Mungu aje afanye maombi hapo unapoishi, kwa imani maruweruwe yataisha, maana imani inaweza kuhamisha milima
kwa hiyo bible imekuwa miungu watu,unaweza niambia Yesu alifata nini dunia?,kwa nini watu wanabatizwa?,kwa nini binadamu kapewa nafasi ya kutubu na shetani akahukumiwa na hakupewa nafasi ya kutubu?Hawezi kulinganisha akili yake na Mungu....lakini anaweza akalinganisha akili yake na miungu watu!
Unachanganyia katika maabara ya Rohoni.Kuna Doctor mmoja hapo muhimbili psychiatric ward! Rafiki yangu saana.
Ameona maneno yako. Ameniambia nikuulize. ! Eti unachanganya vitu gani kupata hio damu!
Yuko tayari kukiuka mipaka ya utabibu . Na anataka kujaribu hio Damu!
Manake wagonjwa wa pepo wachafu wamezidi na nafasi wodini zimejaa!
Angeshkuru saaana kama utafanya fasta kidogo!
usiku chukua ndula 4 na malimao ma4 weka kwenye pembe 4 za chumba chako pamoja na mkaa mweusi.
hivi kuna mkaa usio mweusi?