Jamani hii ni wapi afrika?

Jamani hii ni wapi afrika?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
941162_389402544511602_1248219716_n.jpg
 
Mwakani tu itakuwa bongo kama tutaendelea kutishana kung'oana mapembe....
 
Eeh! Hiyo ndio safi ''mobile court'' mtu akikuzingua mnamaliza hapo hapo,mpango wa sijui kisutu,sijui nini ni kupotezeana muda.
 
si hapo jirani tuu na weweee hakuna sehemu nyingine hapa duniani zaidi ya hapo hata kwa sura tuu utawatambua
 
Duuuh!! balaa!! niliwahi sikia miaka ya nyuma kuwa Congo magenerali huwa wana saloons huko huko maporini,.. now I believe,that lady in second picture kasukilia nywele nyekundu, in the middle of civil war the lady has her game up and hair done!!, sitashangaa akiletwa mwingine ana rangi za kucha na make up kabisa,...
 
Back
Top Bottom