Duuuh!! balaa!! niliwahi sikia miaka ya nyuma kuwa Congo magenerali huwa wana saloons huko huko maporini,.. now I believe,that lady in second picture kasukilia nywele nyekundu, in the middle of civil war the lady has her game up and hair done!!, sitashangaa akiletwa mwingine ana rangi za kucha na make up kabisa,...