johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 40,292
- 2,000
Naomba mwongozo niko maeneo ya bibi Titi Nssf nataka kuelekea magomeni mwembechai, je Jangwani panapitika au nizunguke kupitia kigogo?
Nitashukuru kwa mwongozo wakuu!
Nitashukuru kwa mwongozo wakuu!