Nimemshauri hadi nimechoka. Namwambia aachane na biashara hiyo hanisikii. Kama jana almanusra nimmwagie maji ya deki kwa hasira alipoanza kunitajia eti sijui mambo ya elimu kwamba napishana naye kwa sababu ya elimu.
Nikamwambia rudi kwa mkeo akaufyata loh. Kwani anataka hata kumsikia?Jamani tuacheni masihara nisaidieni namna ya kumshauri aachane na mawazo haya nayaona ni ya hatari.
Nikamwambia rudi kwa mkeo akaufyata loh. Kwani anataka hata kumsikia?Jamani tuacheni masihara nisaidieni namna ya kumshauri aachane na mawazo haya nayaona ni ya hatari.