mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,410
- 722
Muacheni Mwigamba
Watanzania tuna matatizo makubwa sana na aambayo sijui kama tutatayamaliza Yesu akirudi !!!!! n Kama mtu mzima na akili zake anaweza kutumia muda mwingi namna hiyo akiandika pumba za kuwasifu Wanaoteketeza nchi!!! Yet akajiita Mtanzania, na wakati huo utamkuta analalamika hali mbaya ya maendeleo ya Taifa, na huku akisifu maendeleo ya nchi za Wazungu, Bila kujua kwamba nchi zimeendelea baada ya uadilifu katika ngazi zote za serikali na washiriki wao!!!.i BASI MTU KAMA HUYU IS BETTER THAN Mr. ZERO. Na adhabu yake ataipata kwa Mungu, na Mungu siku hizi anatoa Adhabu hapa hapa Duniani. Nakuhakikishia kama kweli unatetea FISADI huku ukijua ni kweli ni Fisadi, na kwa kuwa tu amekupa chochote basi subiri utakuja jua nini nimesema leo. Ubarikiwe sana