Jamani habari ndio hii, mchana kweupeeee

Jamani habari ndio hii, mchana kweupeeee

Mtu kwao jamani. Haya mambo ya kujifanya wewe ni matawi ni ujinga fulani hivi.

Unaweza kukuta watu kibao walikuwa wakicheza Mdundiko, Mchiriku, Bogobogo, Hiari ya Moyo, Lizombe nk wakiwa watoto.

Leo hii wakirudi nyumbani kutoka majuu na "you know....." basi kwao wao hivyo vyote ni ushamba.

Watu wengi si ajabu hapo wanamuona ni yuleyule Robin wao wanayemfahamu akiwa mtoto mdogo kabla hajatua USA.

Kilanga, Beyonce alicheza Sindima pia pale Dar.

beyonce_in_Tanzania_with_African_beauties.jpg


Nawasubiri watoto wa jirani yangu mmoja hapa Sikonge wakirudi kutoka Majuu nione kama watakula Nsansa kwa wali/Gongo.
 
Duh mtoto kaumbika haswa hivi yule jamaa yake alimtwanga mangumi alikuwa na akili sawa sawa kweli.


article-2020977-0D421E0E00000578-42_468x805.jpg
 
4 sure i love rihanaaa!

yan ktk wanawake duniani wanaojijua ni wazuri na kwa sabab hiyo wanahangaisha wanaume ni RIHANA!!!!



"THOSE WHO HAVE MUCH IT'S BETTER TO DEPOSIT EVEN MUCH IN HEAVEN BUY SHARING A LITTLE WITH POORER"
 
Ni sisi tu na upuuzi wetu ndio hatuthamini mila na tamaduni zetu
 
Girl with NO ASSSSS aha hamna uzuri !!!! Raha yaa nyumba choo bwana!!!
 
I like this. I have been there once in Brazil. Amaizing, wow.
 
kama kwa king mswati vile mambo swali, King hakimuona anaweza panda bei lol, lakini bikra hakuna noma!
 
kawaida tu ndo maisha na tamaduni zao! hakuna cha ajabu hapo
 
Mwenye nacho huongezewa:
1: Sauti bomba ya kuimba
2: beautiful
3: fedha,ngawira, ankara,mshiko
 
Back
Top Bottom