Jamani mimi sielewi nimpeje mwenza wangu alizike kwa kawaida kiafya mapenzi yafanywe mara ngapi kwa wik maana naskia kukinai mapema hapa nilipo nipo hoi najikanda maji moto kila siku ndo nafuu yangu,inanibidi nikitoka kwa ofic nipate kinywaji ndo nahimili mshindo wa ligi,nisaidieni jamani maana ndo mume wa kufa kuzikana ndo kwaanza tuna mwaka nikipumzika nableed tu nayo jamaa anaesabu siku ya tatu anasema haina tatizo nikimpa.wasiwasi wangu nikishika ujauzito itakuwaje.
Mchili hahahahaha umenichekesha kweli---- eti wifi unataka tukusaide mke mwenza??Sasa unataka msaada gani?? Tukupatie mke mwenza?
Jamani mimi sielewi nimpeje mwenza wangu alizike kwa kawaida kiafya mapenzi yafanywe mara ngapi kwa wik maana naskia kukinai mapema hapa nilipo nipo hoi najikanda maji moto kila siku ndo nafuu yangu,inanibidi nikitoka kwa ofic nipate kinywaji ndo nahimili mshindo wa ligi,nisaidieni jamani maana ndo mume wa kufa kuzikana ndo kwaanza tuna mwaka nikipumzika nableed tu nayo jamaa anaesabu siku ya tatu anasema haina tatizo nikimpa.wasiwasi wangu nikishika ujauzito itakuwaje.
Nashindwa kuelewa inakuweje ujikande; Mama toa ushirikiano mfurahie mwenzio nakwambia hutafikia haja ya kujikanda! Kujikanda kunaonyesha kuwa zoezi zima halikupi feeling kabisaa kitu ambacho ni hatari ; Na kama jamaa anapewa ushirikiano akatoa uji mzito haki ya nani hawezi kurudia rudia kila siku! ki hivyo!
eeh jamani mnamuonea huyu dada.. naona mme wake ndio wajiby wake kumpa feelings au labda hatumii au hajui seduction techniques.......
Anyways scientists says Sex is good for ur health so do not afraid to have enough sex... ( I dont know how much is enough though)
Hapana hapa tatizo linawezekana lipo kwa jamaa hajui jinsi ya kumwandaa mpenzi wake, inaonekana yeye akifikika tu ni moja kwa moja ikulu,hapana binadamu tunatofauiana inawezekana mke wake yupo kwenye group ile ya kuandaliwa mda mrefu,so mama jitahidi kumwelimisha jamaa kama hujawa tayari mwambie akusubiriHuyo mdada hana hisia za mapenzi kwa mumewe. Pia anatatizo ktk ubongo wake kwani naamini hajawahi hata mara moja hajawahi kufika kileleni na ndio sababu anaikanda amana. Namshauri awaone wataalam wa soikologia watamsaidia