hahaha..daah pole mkuu..kuna dada mmoja alileta uzi humu kuwa mume wake kanunua vimbegu kwa jmaa ili asafishe tumbo kilichotokea almanusura mume wake akate Moto maana aliendesha V8 mpaka Wese likakata V8 ikakosa nguvu ilibaki kidogo litumbukie mtaroni kwa Panic ya dereva...
Na kuna siku nilikua nipo kwenye usafir ustadhi mmoja akawa anauza hiyo dawa ni vimbegu fulani vyeusi akatoa angalizo ukinunua usitafune ndani ya basi maana shugul yake si ya kitoto inatakiwa uwe home siku hiyo na hutoki kwenda mahali. Daah niliogopa hadi leo sijawahi katumia.